Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

Usiwe mweprsi wa kusahau pia. Mwaka 1960s Nyerere aliweka jiwe la Msingi ujrnzi wa Chuo kikuu cha waislam chini ya Usimamizi wa EAMWS na ufadhili wa Gamel Nasser wa Misri.. matokeo yake Tewa Said Tewa aliyekuwa mratibu wa zoezi hilo akahamishiwa kuwa Balozi wa China. Na hatimaye serikali kuiua EAMWS na kuianzisha BAKWATA. Uongozi wote wa BAKWATA ukawekwa na Serikali. Katiba ya Bakwata ikawa Copyright ya katiba ya TANU.. Mali zote za EAMWS zikawekwa chini ya BAKWATA. BAKWATA ndio hawa wakawa wauza mali za Waislam. Sbb ni taasis iliyoanzishwa na Serikali kuwa watchdog wa waislam and not Waratibu wa maendeleo ya Waislam. Tunapoijad8lk historia tuwe wakweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
wacha kulia kulia hapa tokea mwaka 1960s mmeshindwa kujenga chuo mpaka now mmebaki kulalama serikal serikali!
wenzen nw wanachukua maeneo sehemu nyinyi mmekaa kwenye vijiwe vya kahawa halaf mtakuja kulalamika tena!
 
Huyu wa kwao hawawezi kumkemea.Kikwete walikuwa wanamkaba koo kha! Umesahau mapema hivyo juzi Kati si alipewa rozari kama zawadi sasa jiulize hapo!!😵

Nakushauri na wewe uchukue tasbihi umpelekee samia au majaliwa

Nyie itikadi kali si mlisema mnataka kwenda sambamba na maaskofu haya kalipizeni na nyinyi kwa kuwapatia tasbihi samia, majaliwa, sheini, balozi seif ali idi, jaji mkuu hamisi juma, na nk.
 
Pugu Secondary(Catholic School)
Minaki Secondary(Catholic School)
Tosa Maganga Sec(Catholic School)
Weruweru Sec(Catholic School)
Lyamungo Sec(Catholic School)
Ilboru Sec
Ndanda Sec........(Catholic School)



Una wazimu...?
.
Hizi zote hawakuzitoa kwa hiari au kuelimisha raia wake kuwa na vitu vya umma na sii vya dhehebu.
Ni nyerere alinyanganya baada ya kuona ubaguzi katika umegaji wa keki ya taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pugu Secondary(Catholic School)
Minaki Secondary(Catholic School)
Tosa Maganga Sec(Catholic School)
Weruweru Sec(Catholic School)
Lyamungo Sec(Catholic School)
Ilboru Sec
Ndanda Sec........(Catholic School)



Una wazimu...?
Hivi unajua wakati wanajenga hayo mashule walikuwa wanachukua nini?, historia hujasoma mkuu?
 
Zamani nilikuwa najivunia kuwa Mkatoliki, siku hizi navumilia kuwa Mkatoliki. Muda si mrefu nitakuwa Mkatakona.
Tambua hadhi na cheo chako kama mkristo mbatizwa, timiza wajibu wako wa kujitakatifuza na kuimarisha urafiki wako na Mungu wako, shika amri ya kumpenda Mungu na Jirani kiaminifu, jiepushe na upepo wa mbisho unaotikisa wengi na mkondo mkali wa mawimbi ambao msingi wake si ktk wokovu bali miono ya kisiasa na fslsafa za "mwili kwanza, roho badae" au zile za "imani pekee yatosha, matendo mema ni matokeo". Ponya uchovu na ubaridi wako ambao kimsingi si tatizo lako bali umeambukizwa bila kujua, acha yote ukamfuase Kristo na kanisa lake kwa upya na kwa nguvu za imani, mapendo na matumaini. Msikilize Mungu achana na mwanadamu, iponye nafsi yako dhidi ya husuda ya ulimwengu na ibilisi, songa mbele ukibeba msalaba wako kila siku hadi mwisho, usichoke wala kulegea ktk kutenda mema kwani wakati ufaao utavuna mengi. Pole kwa yote yanayokuvunja moyo na kukufikisha hapo ulipofika, japo ungeyafanya kuwa fursa ya kujifunza na kujiimarisha zaidi kiimani, wewe sasa usingekuwa tena ishara ya ulegevu bali ya nguvu na mwalimu wa taifa lote la Mungu. Kumbuka haiko thawabu ya kukata tamaa bali iko ya ushindi dhidi ya vikwazo vyote vya kiimani na kimaisha, #simama#songambele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa na mapesa yote lililonazo ati wanapewa mifuko 100 ya saruji na mkoa? Huu mkoa hauna shule au zahanati zinazohitaji hiyo mifuko ya saruji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri na wewe uchukue tasbihi umpelekee samia au majaliwa

Nyie itikadi kali si mlisema mnataka kwenda sambamba na maaskofu haya kalipizeni na nyinyi kwa kuwapatia tasbihi samia, majaliwa, sheini, balozi seif ali idi, jaji mkuu hamisi juma, na nk.
Sio kila mtu anayetetea haki ni wa imani ile. Nimekulia ndani ya ukatoliki robo tatu ya maisha yangu. Kwa ufupi mimi imani yangu ni Ukristo! Acha udini ongea facts sio ushabiki maandazi!
 
Lazima nao wahamie Dodoma kama serikali inavyotaka kufanya. Haiwezekani TV iwe Dodoma halafu remote control iwe Dar😀.

Pia ahadi ya serikali ya mkoa kutoa mifuko 100 ya saruji ni kutaka kutugombanisha na FaizaFoxy hata tusio wakatoliki😛. Anyways, ndugu zangu maustaadh na maustaadhat msilaze damu, changamkeni muende nao sambamba hawa wenzetu.
Roho zenu fukara zimewaukabali na mmefanana mifuko 100 ya cement hata million na nusu haizidi.
 
Wanatumia hela za Makonda na wadau wake au hela ya "serikali ya mkoa" wa Dar?
Kitendo cha kufanya hiyo shughuli akiwa kwenye office ya serikali tu tayari anatumia rasilimali za serikali kama ushawishi wake wa ukuu wa mkoa, muda ambao serikali ndio inamlipa mshahara, vyombo kama gari, simu, office ambavyo ni mali ya serikali.
 
Sasa Kila Kitu kinaenda Dodoma, Utasikia na Bakwata nao warasema na wao wanahamia Dodoma
 
ivi nikinani wamehamia uko dodoma hadi leo coz cjaona mabadiliko yoyote bado
 
Bakwata nanyie mnahaki ya kuomba eneo kama wenzenu hawa. Mkizubaa baadae mtatueleza kwa nini hamtumii fursa hii ya kuomba kama wenzenu. Msilale fofofoooo..

Sent using Jamii Forums mobile app
TEC Kurasini imechukuliwa na serikali ghorofa zaidi ya tano city center so usidhani ni msaada huo, wakatoliki niwajuavyo sio watu wa kulialia waonewe huruma,

Jana huko mbweni waumini wenyewe wamejenga kanisa kwa zaidi ya billion moja TBC imelionesha bila msaada wowote nje ya waumini wenyewe.
 
Hata sisi FPCT tulishatangaza nia ya kuanza ujenzi wa ofisi hapo Dodoma

Kada wa kwenye CCM mpya
 
Huelewi mkuu hebu acha kanisa letu liendelee kutanuka nchi nzima huku neno la Yesu likisambaa kwa kasi, kalieni majungu tu, sisi tunatoa michango kila kukicha lakini hatupungukiwi, ubahiri wako kaa nao mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom