Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,342
Ushafika madam ....uko vizuriNapa ndipo utaelewa kwanini dikteta anafanywa mtakatifu.
Ushafika madam ....uko vizuriNapa ndipo utaelewa kwanini dikteta anafanywa mtakatifu.
Lazima uchague watu wa kujibizana JF, kwaheriKwani JK alikuwa dini gani?!!
Asingetokea ningeshangaa.Ushafika madam ....uko vizuri
Askofu atawapeleka vuta Subira.Mbona mawaziri wote wapo hapa Dar
wazo zuri, haya tueleze JK alivyosakamwa, tueleze kwasasa unadhani wanapashwa kuondoa misalaba kwa lipiKanisa katoliki mna kesi ya kujibu na misalaba minene shingoni isiyokuwa na manufaa kwa watu! Mko kimya kama mmebwi maji mdomoni! Kila kitu kipo sawa na utawala huu, hamna pa kukemea? mbona JK mlimsakama sana au kwa vile ni dini ingine?
FYI : makao/ eneo la sasa la TEC linavunjwa kupisha upanuzi wa bandari, agreement ya TEC na serikali ni kwa serikali kutoa eneo mbadala linalokidhi mahitaji ya TEC
Ni mifuko moa tu mkuu kumbuka kule tumewapa gorofa tanoLazima nao wahamie Dodoma kama serikali inavyotaka kufanya. Haiwezekani TV iwe Dodoma halafu remote control iwe Dar😀.
Pia ahadi ya serikali ya mkoa kutoa mifuko 100 ya saruji ni kutaka kutugombanisha na FaizaFoxy hata tusio wakatoliki😛. Anyways, ndugu zangu maustaadh na maustaadhat msilaze damu, changamkeni muende nao sambamba hawa wenzetu.
Huyu wa kwao hawawezi kumkemea.Kikwete walikuwa wanamkaba koo kha! Umesahau mapema hivyo juzi Kati si alipewa rozari kama zawadi sasa jiulize hapo!!😵Kanisa katoliki mna kesi ya kujibu na misalaba minene shingoni isiyokuwa na manufaa kwa watu! Mko kimya kama mmebwi maji mdomoni! Kila kitu kipo sawa na utawala huu, hamna pa kukemea? mbona JK mlimsakama sana au kwa vile ni dini ingine?
Nakumbuka sanaHuyu wa kwao hawawezi kumkemea.Kikwete walikuwa wanamkaba koo kha! Umesahau mapema hivyo juzi Kati si alipewa rozari kama zawadi sasa jiulize hapo!!😵
Hamkusema? Acha uongo wewe mpaka leo mnasemaUSIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Mungu akusameheKanisa katoliki mna kesi ya kujibu na misalaba minene shingoni isiyokuwa na manufaa kwa watu! Mko kimya kama mmebwi maji mdomoni! Kila kitu kipo sawa na utawala huu, hamna pa kukemea? mbona JK mlimsakama sana au kwa vile ni dini ingine?
UsameheweWanachofanya wanamsapoti mtukufu maana akianza kuwataifishia rasilimali zao Pengo ndio atakufa kabisa
Wanampooza mtukufu kimtindo japo ni wenzetu
Tumlinde Pengo kwa pamoja
Heee? Wewe ni mwana-CCM kweli?Ndipo utapoelewa kwanini dikteta anafanywa mtakatifu.
well saidUSIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Dikteta yupi? Aliyepo au mwenda zake?Ndipo utapoelewa kwanini dikteta anafanywa mtakatifu.