Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

wakati TEC wanawahi maeneo dom kujenga maofisi,makanisa,shule,hospital nk
wakina mudi,faiza wako wanapiga soga kkoo kwenye vijiwe vya kahawa halafu watakuja kutoa povu wao wako nyuma kuilaumu serikali!
Umeua kila kitu mkuu, ngoja waendelee kunywa kahawa vijiweni kariakoo na maeneo ya karibu na masokoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi kama mkatotiki sitachanga hata sumuni. lissu haya mambo ameyakemea. tatizovoa waromz ni kumuona kiongozi mu rc kama hakosei
Shilingi mia yako itasaidia nini wewe bwege kabisa, kanisa katoliki ni kubwa sanaaaaaaa, endelea kunywa kahawa na kashata hapo kijiweni, sisi tunaochanga michango tunatembelea Toyota harrier na tunatoa michango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Soo cha bakwata kile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa katoliki mna kesi ya kujibu na misalaba minene shingoni isiyokuwa na manufaa kwa watu! Mko kimya kama mmebwi maji mdomoni! Kila kitu kipo sawa na utawala huu, hamna pa kukemea? mbona JK mlimsakama sana au kwa vile ni dini ingine?
Hawa wanapata kibuli wanapojaza makanisa binafsi nitaenda kwenye makanisa pindi yatakapokuwa na huruma kwa wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Yaan chuo cha MUM kiliwauma sana nyie makafiri...roho zinawaumaaaa kweli hovyooo!!!

Nyie mna vyuo vngapi vya kidini mbona waislam hatusem?!..

Eeh Mungu nsipate bahati ya kua first lady,ntawanyoooooosha!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huu mfano wa waislam kupewa chuo cha Tanesco utatolewa mara ngapi? Huu mfano umesha-expire. Kutuletea mambo yaliyofanyika miaka 15 iliyopita wakat kuna ishu za motomoto za mwaka 2017 ni kutuchezea akili.

Mood swings za kanisa katoliki, kila baada ya miaka 10 lazima zichunguzwe kimakini sana.
Mwambie huyooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom