Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

USIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Sasa huu mfano wa waislam kupewa chuo cha Tanesco utatolewa mara ngapi? Huu mfano umesha-expire. Kutuletea mambo yaliyofanyika miaka 15 iliyopita wakat kuna ishu za motomoto za mwaka 2017 ni kutuchezea akili.

Mood swings za kanisa katoliki, kila baada ya miaka 10 lazima zichunguzwe kimakini sana.
 
USIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Wakati NBC inauzwa Wislam walitaka kununua chuo cha benki kule Iringa kilichojitokeza wakauziwa Katoliki (RUCU) badala yake. Ikaonekana noma kwa kujisafisha ndio Waislam wakapewa chuo cha TANESCO, na mlolongo huo huo ukafanya vyuo vilivyokuwa vya madhehebu mbalimbali warudishiwe wenyewe, kama kile cha Lushoto (Lutheran) cha Dodoma (Anglican) hivyo gemu ndivyo lilivyoanza.
I stand to be corrected.
 
USIWE MWEPESI WA KUSAHAU, CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO MAJENGO YALE YALIKUWA NI YA TANESCO, MALI YA UMMA, RAIS MKAPA AKAWAPA WAISLAM WAFANYE CHUO KIKUU CHAO, MBONA WAKRISTO HATUKUSEMA? NYINYI VIMFUKO VYA SIMENTI MIAMOJA AMBAVYO HATA MILIONI MBILI HAIFIKI TAYARI MSHAANZA KELELE!KWELI MNAROHO MBAYA SANA
Usiwe mweprsi wa kusahau pia. Mwaka 1960s Nyerere aliweka jiwe la Msingi ujrnzi wa Chuo kikuu cha waislam chini ya Usimamizi wa EAMWS na ufadhili wa Gamel Nasser wa Misri.. matokeo yake Tewa Said Tewa aliyekuwa mratibu wa zoezi hilo akahamishiwa kuwa Balozi wa China. Na hatimaye serikali kuiua EAMWS na kuianzisha BAKWATA. Uongozi wote wa BAKWATA ukawekwa na Serikali. Katiba ya Bakwata ikawa Copyright ya katiba ya TANU.. Mali zote za EAMWS zikawekwa chini ya BAKWATA. BAKWATA ndio hawa wakawa wauza mali za Waislam. Sbb ni taasis iliyoanzishwa na Serikali kuwa watchdog wa waislam and not Waratibu wa maendeleo ya Waislam. Tunapoijad8lk historia tuwe wakweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndipo utapoelewa kwanini dikteta anafanywa mtakatifu.
Kwani kuna shida gani kanisa kuhamishia makao makuu yake dodoma? Pesa za ujenzi serikali haitatoa bali wakatoliki pekee yao. Kwanini wahamishe inaweza kuwa ni kuunga mkono juhudi za serikali katika mchakato wa kuhamia dodoma, kuweka shughuli za kanisa katikati ya nchi nk. Udini hadi kwenye mambo yasiyowahusu ,mbona shida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaagiza ndani ya siku kumi zoezi la upatikanaji wa kiwanja sehemu wanapohitaji liwe limekamilika. Sisi tutawapa kila aina ya msaada kwa haraka, nasi wana Dodoma tutoe ushirikiano” ameeleza.
Roma locuta causa finito
 
Back
Top Bottom