maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Na awalinde tu, mbowe anasema alimtafutia mdee kazi, Je vipi hao wengine 18 nao aliwatafutia kazi?Bunge ndo litaamua....sheria za Tanzania zina gaps nyingi. Hapo Tulia Mwansasu ashapata kipengele cha kuwalinda kabla hata ya hilo Baraza lao kukaa
Chama cha kibaguzi Sana!