Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.
👆
Hizi ni tuhuma nzito sana kwa uongozi wa Cdm, hawa wanawake wangepewa muda wa kujieleza wangesema mengi.

Nguruvi3 zitto junior Tindo jmushi1 Kichuguu lwaitama1
 
Kikao cha Baraza Kuu Chadema, kimelazika, limebariki ule Ukangaroo uliofanywa na CC ya Chadema, uamuzi wa Baraza Kuu Chadema ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive. Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.

Tena kiukweli, Halima Mdee ni mwanamke wa shoka kweli kweli nilidhani mbele vya kikao cha Baraza Kuu Chadema angesimama na kuyasema ukweli wa barua yao ya uteuzi, wajumbe wangebaki midomo wazi!.

Kama it's a battle, kina Halima have lost the battle, they have nothing more to loose au ni kukubali kufa kikondoo kwa kuisubiria karma iwalipie, au to keep on fighting hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike kwa kuhamishia mpambano kwenye wiwanja vingine vya Kisheria!.

Halima anamjua aliowasainia barua ya uteuzi, ili kumlinda, waliamua kunyamaza kwa imani kuwa atawaombea msamaha, kumbe... kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Life goes on
P
Masikio yako yanasikia na macho yako yanaona kile unchoona kinakuvutia .... brother ... you wrote nonsense
 
Mbowe Juzi ikulu alienda kufata nini?
Kama hamtambui raisi ikulu alienda kufata nini?
Kwahiyo wewe unatamani wapinzani kila siku waswekwe mahabusu na kupigwa virungu...watanzania hatuna roho mbaya kama yako...mwensio anatafuta maridhiano wapinzani waishi kwa amani na kufanya siasa kwa upendo wewe kinakukeraaa....mweeee
 
So kesi yao ni unfair dismissal ya kuvuliwa uanachama na mfumo dume kwa njia za uonevu
Unfair kivipi wakati waliitwa kwenye fair trial wote wakagoma kuja citing insecurity reasons!! Tokea hapo hawakuwahi omba hearing ya aina yoyote so Kamati kuu ikatoa hukumu in absentia.

In their defence kwenye kesi ya kufoji sign hakina mama wanaweza kubali kosa na kujitetea iliwalizimu kufanya hivyo kwa sababu wapiga sign ni wanaume ambao wanawapangia cha kufanya katika nafasi za wanawake bungeni zilizotolewa kisheria.
Hilo suala ni kesi ya kikatiba inatakiwa wapeleke shauri huko Ili mahakama itamke kuwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum inakiuka kifungu A..B..C sababu inawabana wanawake kujiamulia!!! Hiyo ni loophole ya katiba sio tena CHADEMA.

However Kamati kuu ya CHADEMA Ina wanawake 30% so unaposema uamuzi ni WA vidume unakosea maana uongozi wa chama ni Sheria sio Jinsia!! In fact waliopiga kelele watimuliwe ni BAWACHA maana wanaona waliporwa haki Yao na hao 19
 
👆
Hizi ni tuhuma nzito sana kwa uongozi wa Cdm, hawa wanawake wangepewa muda wa kujieleza wangesema mengi.

Nguruvi3 zitto junior Tindo jmushi1 Kichuguu lwaitama1
Mbona walipewa muda wa kujieleza mbele ya Baraza Kuu lakini waka-opt kukaa kimya??

Waliwahi kuitwa na Kamati kuu wote wakadai hawawezi kufika kisa kuhofia usalama wao!!

Kiufupi hawakuwahi jitetea popote sasa hiko sio kiburi??

Nilikua nampenda sana kishoa, Nusrat, na Matiko ni watu potential mnoo kwa hili taifa ila ndio hivyo tena Sheria ni lazima ifuatwe.
 
Unfair kivipi wakati waliitwa kwenye fair trial wote wakagoma kuja citing insecurity reasons!! Tokea hapo hawakuwahi omba hearing ya aina yoyote so Kamati kuu ikatoa hukumu in absentia.


Hilo suala ni kesi ya kikatiba inatakiwa wapeleke shauri huko Ili mahakama itamke kuwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum inakiuka kifungu A..B..C sababu inawabana wanawake kujiamulia!!! Hiyo ni loophole ya katiba sio tena CHADEMA.

However Kamati kuu ya CHADEMA Ina wanawake 30% so unaposema uamuzi ni WA vidume unakosea maana uongozi wa chama ni Sheria sio Jinsia!! In fact waliopiga kelele watimuliwe ni BAWACHA maana wanaona waliporwa haki Yao na hao 19
E7EEFD41-0637-4788-8396-1067817DDBFA.jpeg


Uwezi kuwa na taratibu za kufukuza watu kinyume na sheria, hayo mambo yote ya kwenye vyama vya siasa sijui katiba zao zinasema nini ni taratibu za utekelezaji wa sheria tu kwa mtindo wao.

Sasa kwenye misconduct taratibu za kufukuzana kwa mtu anaetaka haki itendeke inabidi awepo na neutral party kwenye kusikiliza pande mbili. In this instance labda the neutral party ni wawakilishi kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa washirikishwe kusikiliza accusation za pande mbili.

Lakini kwenye dismissal process ambazo jaji mwenyekiti wa chama, prosecutors mwenyekiti wa chama na genge lake la wahuni na jurors wapo mfukoni kwa mwenyekiti; uende au usiende kwenye dispute resolution kama hiyo matokeo yapo wazi.

Sasa kama ni victim either ukubali kama Membe au upambanie haki yako mahakamani kama Zitto.

Binafsi naona unyanyasaji wa hakina mama nchi hii umekithiri ni kwenda mahakamani tu.
 
1. Point yako ya pili ndio ya msingi kwa hakina mama, CDM awawezi wavua ubunge wanachoweza washafanya kuwavua uanachama na kukosa sifa za kuwa wabunge.

Maana yake hakina mama awawezi kwenda mahakamani kutetea kuvuliwa ubunge wanachoweza kutetea uanachama wao ili wabaki na sifa za kuwa wabunge.

So kesi yao ni unfair dismissal ya kuvuliwa uanachama na mfumo dume kwa njia za uonevu.

2. Iwapo kesi ya wamama ya kufukuzwa uanachama itachukua muda na kufanya waendelee kubaki na sifa za kuwa wabunge. CDM nao wanaweza fungua kesi tofauti ya kutaka kufutwa ubunge wao kwa kufoji sign. Hiyo sasa inakuwa ni kesi nyingine aina uhusiano na kesi ya wamama ya unfair dismissal kwenye uanachama wao.

In their defence kwenye kesi ya kufoji sign hakina mama wanaweza kubali kosa na kujitetea iliwalizimu kufanya hivyo kwa sababu wapiga sign ni wanaume ambao wanawapangia cha kufanya katika nafasi za wanawake bungeni zilizotolewa kisheria.

Ukiitazama kwa kina ni kesi ya ukandamizaji kwa sababu wengi ya hawa wabunge wa viti maalum walikuwa viongozi wa BAWACHA so ni maamuzi yao kuchukua hizo nafasi, especially CDM wakijichuza kupeleka majina mapya inawajengea hoja ya ukandamizaji zaidi hizo nafasi mpaka mwenyekiti na kundi lake waamue lakini sio Democratic decision za viongozi wa BAWACHA.

3. Lakini uwezi kuingiza mambo ya kufoji sign na shenanigans zingine za kupata nafasi za ubunge katika kesi number moja ya unfair dismissal ni vitu viwili tofauti.
Yatosha kukuita ZUZU....
 
Hata hivyo walisha kula sana; mwaka mzima? Naona kama ama watahamia ama ACT Wazalendo au CCM. Kokote watakokokwenda nadhani watakuwa na nyota inayong'ara kwani ndio watakaoutumika kukibomoa CHADEMA. Labbda washawishiwe wasiondoke ndani ya Chama.
Ila mkuu inaonyesha huna kumbukumbu vizuri yaani hawa waibomoe chadema ameondoka slaa ameondoka zito chadema ipo tu
 
Kila taasisi ina process zake za kutimuana lakini aina mara zote fair process ufuatwa.

Halafu kuna swala la motive pia kwenye kufukuzana is it justifiable mbele ya mahakama sio katiba ya chama inasemaje tu.

Mfano mwenyekiti akutaki na ana influence kwenye vikao vya chama utatoka salama kweli ata kama process za disciplinary action and contract termination zinajulikana; si anasema tu huyu atumtaki na wajumbe wanatii agizo.

Mara kadhaa viongozi wa juu wa CDM wamesikika wakichochea kufukuzwa hao wamama wanyonge uanachama badala ya kuachia vikao viamue independently; si ndio influence yenyewe ya viongozi hiyo kwenye vikao.
Mkuu cdm wanadai hawajapeleka majina bungeni je majina ya kina halima yalifikaje? Unajua kati yao kuna mmoja alikuwa jela/mahabusu akatolewa usiku usiku ili awe mbunge? Kubali kataa ila kuna upumbavu na ubabe ulifanyika wale wamama magaidi kuwa bungeni, ndio maana aliyeapa kuwalinda nae yamemkuta
 
Mkuu cdm wanadai hawajapeleka majina bungeni je majina ya kina halima yalifikaje? Unajua kati yao kuna mmoja alikuwa jela/mahabusu akatolewa usiku usiku ili awe mbunge? Kubali kataa ila kuna upumbavu na ubabe ulifanyika wale wamama magaidi kuwa bungeni, ndio maana aliyeapa kuwalinda nae yamemkuta
Sijakataa kulikuwa na hila hapo katikati za wao kuchukua nafasi za ubunge; lakini usisahau kama taasisi CDM walisusia hizo nafasi so out of desperation hakina mama wakafanya yao.
 
Sijakataa kulikuwa na hila hapo katikati za wao kuchukua nafasi za ubunge; lakini usisahau kama taasisi CDM walisusia hizo nafasi so out of desperation hakina mama wakafanya yao.
Sio kwamba walisusia bali wamesusia hadi leo labda uniambie sasahivi wamezikubali
 
Back
Top Bottom