Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Kikao cha Baraza Kuu Chadema, kimelazika, limebariki ule Ukangaroo uliofanywa na CC ya Chadema, uamuzi wa Baraza Kuu Chadema ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive. Sijasikia popote juhudi zozote za kumtafuta aliyesaini barua ya uteuzi, sijasikia popote Chadema wakisema kuna forgery au kuripoti popote forgery ile, hivyo hoja za bandiko hili zinasimama, wabunge hao 19 wa Chadema, hawakujiteua wenyewe, waliteuliwa na kiongozi wa Chadema aliyesaini barua yao ya uteuzi!. Hakuna forgery yoyote iliyofanywa kwenye uteuzi wao ndio maana Chadema hawajaripoti forgery popote!.

Tena kiukweli, Halima Mdee ni mwanamke wa shoka kweli kweli nilidhani mbele vya kikao cha Baraza Kuu Chadema angesimama na kuyasema ukweli wa barua yao ya uteuzi, wajumbe wangebaki midomo wazi!.

Kama it's a battle, kina Halima have lost the battle, they have nothing more to loose au ni kukubali kufa kikondoo kwa kuisubiria karma iwalipie, au to keep on fighting hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike kwa kuhamishia mpambano kwenye wiwanja vingine vya Kisheria!.

Halima anamjua aliowasainia barua ya uteuzi, ili kumlinda, waliamua kunyamaza kwa imani kuwa atawaombea msamaha, kumbe... kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Life goes on
P
Mkuu with all due respect naomba nielimishe wabunge wa viti maalum Chadema wanateuliwa na chombo gani chamani?
 
View attachment 2221957

Uwezi kuwa na taratibu za kufukuza watu kinyume na sheria, hayo mambo yote ya kwenye vyama vya siasa sijui katiba zao zinasema nini ni taratibu za utekelezaji wa sheria tu kwa mtindo wao.

Sasa kwenye misconduct taratibu za kufukuzana kwa mtu anaetaka haki itendeke inabidi awepo na neutral party kwenye kusikiliza pande mbili. In this instance labda the neutral party ni wawakilishi kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa washirikishwe kusikiliza accusation za pande mbili.

Lakini kwenye dismissal process ambazo jaji mwenyekiti wa chama, prosecutors mwenyekiti wa chama na genge lake la wahuni na jurors wapo mfukoni kwa mwenyekiti; uende au usiende kwenye dispute resolution kama hiyo matokeo yapo wazi.

Sasa kama ni victim either ukubali kama Membe au upambanie haki yako mahakamani kama Zitto.

Binafsi naona unyanyasaji wa hakina mama nchi hii umekithiri ni kwenda mahakamani tu.
Halafu waweza kuta hii ni ID ya lile zuzu lililotimuliwa kwenye Uspika na serikali, akili zinafanana na mliowaponza hao covid.
Bush lawyer.
 
Halafu waweza kuta hii ni ID ya lile zuzu lililotimuliwa kwenye Uspika na serikali, akili zinafanana na mliowaponza hao covid.
Bush lawyer.
We nilishakwambia not long ago kwa sasa ni ‘confused.com’ hujui tena unaamini nini.

Ushauri wangu baki na majukumu uliyopewa ya kuwa chawa wa maza.
 
Mkuu with all due respect naomba nielimishe wabunge wa viti maalum Chadema wanateuliwa na chombo gani chamani?
Mkuu Matola , kwenye uteuzi wa wabunge WA viti maalum, kila chama kina utaratibu wake wa ndani, kwa Chadema ni CC ya Chadema kwanza kwa kila mjumbe kuleta watu wake, ndio maana ulikuta mtu anamleta mwanae wa kike, na mke wa mtoto wake wa kiume hivyo bungeni wako Baba, mtoto na mkwe!. Lisu na Zitto wakaleta dada zao!. Wajumbe wengine wake zao na kwa baadhi ya viongozi wakaleta hadi vidumu vyao!, ambavyo havichangii hoja yoyote mule Bungeni zaidi ya kutoa tuu zile huduma za kibinaadamu!.

Majina hayo huwasilishwa NEC 30 days kabla ya uchaguzi in order of preference.
Baada ya uchaguzi, NEC hufanya calibration ya kura za urais na kukokotoa idadi ya viti maalum kutoka kila chama na kuwaandikia barua vyama vi confirm uteuzi. Chadema responded kwa barua halali, yenye headed paper ya Chadema na signature ya office bearers.

NEC ikafanya uteuzi na kumpa Spika majina. Katibu Mkuu, JJ.Mnyika, huyu ni Nyerere type, hakuleta jina la ndugu yake yoyote, mke au kidumu, akashangaa barua hiyo ya uteuzi imeandikwa na nani na kusainiwa na nani wakati yeye ndiye KM na hakuandika!. Akaliamsha!. Ukweli barua ya uteuzi ipo ni bonafide genuine, ina bonafide genuine headed paper ya Chadema, ina bonafide genuine signature ya office bearers, hivyo hakuna forgery yoyote ndio maana hawakuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike!. Na kikao cha Baraza Kuu, hakikufanya and due diligence yoyote kujiridhisha CC did the right thing zaidi ya kuyabariki maamuzi ya CC ya Chadema.

Chadema ina katiba yake yenye miongozo yote ya nidhamu, kwanini haikufutwa?. Ule ni Ukangaroo!.

Kama ilivyo kwa Zitto as NKM na Halima Mdee as Mwenyekiti wa Bawacha, hawa wanachaguliwa na Baraza Kuu, ndilo mamlaka yake ya nidhamu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtiimua Zitto na sasa Halima?!. Huu ni Ukangaroo!.

Kiukweli karma imekuwa iki washughulikia Chadema collectively as chama na kuwashughulikia viongozi wake individually!. Why now add an insult to an injury?.

Karma is real!.
P
 
Mkuu cdm wanadai hawajapeleka majina bungeni je majina ya kina halima yalifikaje? Unajua kati yao kuna mmoja alikuwa jela/mahabusu akatolewa usiku usiku ili awe mbunge? Kubali kataa ila kuna upumbavu na ubabe ulifanyika wale wamama magaidi kuwa bungeni, ndio maana aliyeapa kuwalinda nae yamemkuta
Mkuu with all due respect naomba nielimishe wabunge wa viti maalum Chadema wanateuliwa na chombo gani chamani?
Mkuu Matola , kwenye uteuzi wa wabunge WA viti maalum, kila chama kina utaratibu wake wa ndani, kwa Chadema ni CC ya Chadema kwanza kwa kila mjumbe kuleta watu wake, ndio maana ulikuta mtu anamleta mwanae wa kike, na mke wa mtoto wake wa kiume hivyo bungeni wako Baba, mtoto na mkwe!. Lisu na Zitto wakaleta dada zao!. Wajumbe wengine wake zao na kwa baadhi ya viongozi wakaleta hadi vidumu vyao!, ambavyo havichangii hoja yoyote mule Bungeni zaidi ya kutoa tuu zile huduma za kibinaadamu!.

Majina hayo huwasilishwa NEC 30 days kabla ya uchaguzi in order of preference.
Baada ya uchaguzi, NEC hufanya calibration ya kura za urais na kukokotoa idadi ya viti maalum kutoka kila chama na kuwaandikia barua vyama vi confirm uteuzi. Chadema responded kwa barua halali, yenye headed paper ya Chadema na signature ya office bearers.

NEC ikafanya uteuzi na kumpa Spika majina. Katibu Mkuu, JJ.Mnyika, huyu ni Nyerere type, hakuleta jina la ndugu yake yoyote, mke au kidumu, akashangaa barua hiyo ya uteuzi imeandikwa na nani na kusainiwa na nani wakati yeye ndiye KM na hakuandika!. Akaliamsha!. Ukweli barua ya uteuzi ipo ni bonafide genuine, ina bonafide genuine headed paper ya Chadema, ina bonafide genuine signature ya office bearers, hivyo hakuna forgery yoyote ndio maana hawakuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike!. Na kikao cha Baraza Kuu, hakikufanya and due diligence yoyote kujiridhisha CC did the right thing zaidi ya kuyabariki maamuzi ya CC ya Chadema.

Chadema ina katiba yake yenye miongozo yote ya nidhamu, kwanini haikufutwa?. Ule ni Ukangaroo!.

Kama ilivyo kwa Zitto as NKM na Halima Mdee as Mwenyekiti wa Bawacha, hawa wanachaguliwa na Baraza Kuu, ndilo mamlaka yake ya nidhamu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtiimua Zitto na sasa Halima?!. Huu ni Ukangaroo!.

Kiukweli karma imekuwa iki washughulikia Chadema collectively as chama na kuwashughulikia viongozi wake individually!. Why now add an insult to an injury?.

Karma is real!.
P
 
Kila taasisi ina process zake za kutimuana lakini aina mara zote fair process ufuatwa.

Halafu kuna swala la motive pia kwenye kufukuzana is it justifiable mbele ya mahakama sio katiba ya chama inasemaje tu.

Mfano mwenyekiti akutaki na ana influence kwenye vikao vya chama utatoka salama kweli ata kama process za disciplinary action and contract termination zinajulikana; si anasema tu huyu atumtaki na wajumbe wanatii agizo.

Mara kadhaa viongozi wa juu wa CDM wamesikika wakichochea kufukuzwa hao wamama wanyonge uanachama badala ya kuachia vikao viamue independently; si ndio influence yenyewe ya viongozi hiyo kwenye vikao.
Mkuu with all due respect naomba nielimishe wabunge wa viti maalum Chadema wanateuliwa na chombo gani chamani?
Mkuu Matola , kwenye uteuzi wa wabunge WA viti maalum, kila chama kina utaratibu wake wa ndani, kwa Chadema ni CC ya Chadema kwanza kwa kila mjumbe kuleta watu wake, ndio maana ulikuta mtu anamleta mwanae wa kike, na mke wa mtoto wake wa kiume hivyo bungeni wako Baba, mtoto na mkwe!. Lisu na Zitto wakaleta dada zao!. Wajumbe wengine wake zao na kwa baadhi ya viongozi wakaleta hadi vidumu vyao!, ambavyo havichangii hoja yoyote mule Bungeni zaidi ya kutoa tuu zile huduma za kibinaadamu!.

Majina hayo huwasilishwa NEC 30 days kabla ya uchaguzi in order of preference.
Baada ya uchaguzi, NEC hufanya calibration ya kura za urais na kukokotoa idadi ya viti maalum kutoka kila chama na kuwaandikia barua vyama vi confirm uteuzi. Chadema responded kwa barua halali, yenye headed paper ya Chadema na signature ya office bearers.

NEC ikafanya uteuzi na kumpa Spika majina. Katibu Mkuu, JJ.Mnyika, huyu ni Nyerere type, hakuleta jina la ndugu yake yoyote, mke au kidumu, akashangaa barua hiyo ya uteuzi imeandikwa na nani na kusainiwa na nani wakati yeye ndiye KM na hakuandika!. Akaliamsha!. Ukweli barua ya uteuzi ipo ni bonafide genuine, ina bonafide genuine headed paper ya Chadema, ina bonafide genuine signature ya office bearers, hivyo hakuna forgery yoyote ndio maana hawakuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike!. Na kikao cha Baraza Kuu, hakikufanya and due diligence yoyote kujiridhisha CC did the right thing zaidi ya kuyabariki maamuzi ya CC ya Chadema.

Chadema ina katiba yake yenye miongozo yote ya nidhamu, kwanini haikufutwa?. Ule ni Ukangaroo!.

Kama ilivyo kwa Zitto as NKM na Halima Mdee as Mwenyekiti wa Bawacha, hawa wanachaguliwa na Baraza Kuu, ndilo mamlaka yake ya nidhamu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtiimua Zitto na sasa Halima?!. Huu ni Ukangaroo!.

Kiukweli karma imekuwa iki washughulikia Chadema collectively as chama na kuwashughulikia viongozi wake individually!. Why now add an insult to an injury?.

Karma is real!.
P
 
Adhabu ya msaliti popote pale duniani ni kuangamizwa. Covid 19 wanapaswa kuangamizwa milele kisiasa.

Ilishangaza hata wasaliti kupigiwa kura kuwa wafukuzwe au wasifukuzwe!! Kulikuwa na njama nyuma ya uamuzi wa kuwapigia kura!.
 
Samiah alichaguliwa na Nani? Kwenye uchaguzi upi?.
Kama ulipiga Kura utakua uliona picha ya Samia na hayati magufuli, so akipigwa Kura, so Kama chadema haikubaliani na matokeo ya uchaguzi basi mjue Kua Samia ni zao la uchaguzi maana hatujafanya uchaguzi mwingine wa huru na Haki.
Je, mbowe ikiwa misimamo ya chama chake ni kutoitambua serikali, Je, kwanini alienda ikulu kumuona rais Samia (asiemtambua?)
 
..Halima na wenzake waombe msamaha.

..Wamtaje aliyewarubuni, na namna alivyowarubuni.

..Hatua kali za KISHERIA zichukuliwe kwa wote waliohusika na jambo hili.
Na mbowe inabidi aombe msamaha chama kwa kukutana na rais Samia (wasiemtambua) zaidi ya mara mbili.
 
Yani kwa Ile statement ya Mbowe kwamba yeyote atakayesaliti chama hatavumiliwa nilijua kabisa Covid imekula kwao.

Anyway wameshatengeneza hela ya kutosha na Kama wamechukua mikopo dhamana ni mshahara wa ubunge hivyo serikali italipa huo mkopo.

Magufuli na Ndugai walituharibia sana bunge. Anyway wapumzike waende CCM Sasa waone Kama watapewa nafasi kule.
Hapo kwenye mikopo hapo
 
Zitto mwenyewe amekiri katika makosa makubwa aliyofanya katika Maisha yake ni kuondoka Chadema. Kwa huu mwaka mmoja akina Halima wamekuwa na impact gani?. Dr Slaa, Masinji etc wameshindwa kukivunja chama sembuse Hawa akina Halima Mdee waliochuja?. Waende CCM au ACT .

Umesahau wale wanawake ambao 2020 walihma chama kwa visingizio vingi, Leo wapo wapi?. Alfred Rwakatale aliyehama chadema kwa mikwara yupo wapi leo?. Chadema ilishindwa kuvunjwa na jiwe sidhani Kuna wakuivunja zaidi ya Mungu mwenyewe.
Mungu na chadema wapi na wapi? Hicho chama Kama wanataka kukiua hata kesho inawezekana, rejea mbowe alivokua mahabusu(kipindi cha mwaka mzima almost) chama kilistuck, halikua na mipango yoyote zaidi ya kufatilia kesi ya mbowe.
 
Mkuu Matola , kwenye uteuzi wa wabunge WA viti maalum, kila chama kina utaratibu wake wa ndani, kwa Chadema ni CC ya Chadema kwanza kwa kila mjumbe kuleta watu wake, ndio maana ulikuta mtu anamleta mwanae wa kike, na mke wa mtoto wake wa kiume hivyo bungeni wako Baba, mtoto na mkwe!. Lisu na Zitto wakaleta dada zao!. Wajumbe wengine wake zao na kwa baadhi ya viongozi wakaleta hadi vidumu vyao!, ambavyo havichangii hoja yoyote mule Bungeni zaidi ya kutoa tuu zile huduma za kibinaadamu!.

Majina hayo huwasilishwa NEC 30 days kabla ya uchaguzi in order of preference.
Baada ya uchaguzi, NEC hufanya calibration ya kura za urais na kukokotoa idadi ya viti maalum kutoka kila chama na kuwaandikia barua vyama vi confirm uteuzi. Chadema responded kwa barua halali, yenye headed paper ya Chadema na signature ya office bearers.

NEC ikafanya uteuzi na kumpa Spika majina. Katibu Mkuu, JJ.Mnyika, huyu ni Nyerere type, hakuleta jina la ndugu yake yoyote, mke au kidumu, akashangaa barua hiyo ya uteuzi imeandikwa na nani na kusainiwa na nani wakati yeye ndiye KM na hakuandika!. Akaliamsha!. Ukweli barua ya uteuzi ipo ni bonafide genuine, ina bonafide genuine headed paper ya Chadema, ina bonafide genuine signature ya office bearers, hivyo hakuna forgery yoyote ndio maana hawakuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike!. Na kikao cha Baraza Kuu, hakikufanya and due diligence yoyote kujiridhisha CC did the right thing zaidi ya kuyabariki maamuzi ya CC ya Chadema.

Chadema ina katiba yake yenye miongozo yote ya nidhamu, kwanini haikufutwa?. Ule ni Ukangaroo!.

Kama ilivyo kwa Zitto as NKM na Halima Mdee as Mwenyekiti wa Bawacha, hawa wanachaguliwa na Baraza Kuu, ndilo mamlaka yake ya nidhamu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtiimua Zitto na sasa Halima?!. Huu ni Ukangaroo!.

Kiukweli karma imekuwa iki washughulikia Chadema collectively as chama na kuwashughulikia viongozi wake individually!. Why now add an insult to an injury?.

Karma is real!.
P
Very informative and educational thanks

Mbowe ni muhuni siku zote, tatizo ni upofi wa wanachadema kutotaka kukubali ukweli for what Mbowe stands for.

He is just an old reprobate
 
sabaya juzi aliposhinda rufaa yake kwani alikuwa hajahukumiwa miaka 30 kabla ya rufaa?. The same na huku chadema, hawa covid 19 walifukuzwa na kamati kuu lakini wakakata rufaa kwenye baraza la chama ambalo Leo baraza limepiga kura matokeo yakatoka kuwa wamefukuzwa uanachama kwahiyo rufaa yao imefeli maana ake imetupiliwa mbali. Kukata rufaa unaweza kushinda pia lakini wao wameshindwa. Hapa usipoelewa basi akili zako nizaccm
Then mnagain nini baada ya kuwadukuza?
Badala ya kujenga umoja na roho ya kusamehe mnajenga mipasuko na chuki isiyo ya msingi. Mmepoteza uelekeo.
 
Na ngoja wakose na Ubunge Sasa ndio watakosa kabisa ushawishi. Tatizo walijiona juu ya chama na kwamba kwa majina yao chama hakiwezi kuwafukuza.

Lakini wakasahau chadema ni taasisi na ina wanawake wengi Sana. Sasa Ni muda wa kuwapa muda wanawake wengine wapate nafasi ya kufanya siasa.
Mmeshindwa kuchanga karata zenu vizuri, mmefukuza wanawake potential Sana kwenye siasa na nchi hii kwa kushupaza shingo tu, sometimes mjifunze hata kwa CCM wanatofautiana Sana lakini hakuna anaefukuzwa au kuitwa msaliti au kuchukuliwa maamuzi magumu Kamayenu ( lengo ikiwa ni kujenga unity kwenye chama)
Ukomavu wa siasa ni neno mtambuka, ukilitafsiri vibaya linakugharimu.
 
Slaa gani hafanyi Siasa za Ushindani. Umesahau press conference zake 2015 akiiponda chadema na kutoa Siri za chama hadharani, lakini akagonga mwamba na chadema kushinda Jimbo la karatu. Juzi hapa amefanya press conference za kuishambulia chadema lakini hajafanikiwa. Mpaka ikabidi aombe msamaha kwa kusema uongo.
Alioponda chadema au CAG? Mbona mnachanganya mafaili?
 
Ndugu, umefatilia Jana hotuba ya Mh. Mbowe ni kwamba Rais alimuita kupanga kikao Kati ya serikali na Chadema. Kitakachokuwepo wiki ijayo. Serikali wajumbe kumi na chadema wajumbe kumi.
Mbowe na chadema walideclare kutoitambua serikali iliyopo madarakani na kutoipa ushirikiano, na ndio mana hawakutaka hata kukaza nafasi ya Viti maalum, sasa mbowe ilikuaje akakubali kukutana na raisi (zao la serikali asiyoitambua ) na kupanga yote hayo? Je, hajakiuka makubaliano ya chama?
 
Halima sijui kilimsibu nini adi kubadilika gafla na kuwa bandidu
Boy akina Nusrat hanje wameteseka Sana kutokana na ukiritimba wa Viti maalum chadema ( kupeana wanaojuana) angetakiwa kuwa bungeni tangu 2015, lakini dhuluma na ukiritimba uliokithiri chadema ndio umesababisha haya,
 
Back
Top Bottom