MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
Mbona naskia Sophia Simba ni mzigo na uwezo is limited? Je ni sawa kumpa wizara nyeti kama ya rushwa?
Nahisi usingizi!!ngoja tu nikalale.Ila hongera Mama Kabaka.Naona Butimba ilikukomaza kwelikweli
Mbona naskia Sophia Simba ni mzigo na uwezo is limited? Je ni sawa kumpa wizara nyeti kama ya rushwa?
Ukitaka kujua ni kwanini watu wanaquestion, angalia perfomance ya wizara ya ujenzi tangu magufuli aondoke, na baada ya muda mfupi uangalie tena wizara ya Ardhi itakavyokuwa, the qustion is, kama aliiweza ya ujenzi kwanini ahamishwe? Kama ya Ardhi ameiweza kwanini anahamishwa? What about Membe ina maana yeye ndiye ameiweza zaidi wizara ya mambo ya nje?
A very big disappointment! A very good opportunity to raise his credibility that was not used accordingly.
Nahisi usingizi!!ngoja tu nikalale.Ila hongera Mama Kabaka.Naona Butimba ilikukomaza kwelikweli
(i)Je Vijana wako wizara ipi.
Nimesoma between the lines.... Wizara ya Africa Mashari pia imepewa Mzanzibar kama Ilivyo wizara ya Mambo ya Nje
Hili ni Jambo jema kwetu sisi wa Zanzibar... Muungano... Daiiii....ma!!!!
.
PS: Inaonekana JK hata hakuwahi kusoma report ya kile kilicholetekeza wizara ya elimu na elimu ya juu kutenganishwa. Angesoma hata utangulizi wake tu asingezirudisha wizara hizi kuwa pamoja hasa kwa kipindi hiki ambako mahitaji na matakwa ya wizara hizi hayashabihiani.
"Dream Team, au SEALs"? I don't think so!!!
I dont think so---Kamala sio mzanzibar..... huyu ni mbunge wa Nkenge, Kagera.
I dont think so---Kamala sio mzanzibar..... huyu ni mbunge wa Nkenge, Kagera.