Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Unaleta unazi hata kwenye serious issues ?John ame suggest na wewe unaweza kusema yako hajakulazimisha wala JK hajapewa amri.Why jump to conclude ?
HUYU PUNDAMILIA NAYE NA MAMBO YAKE YA VYAMA!
Wakuu Lunyungu na jmushi1
Najua ninyi ni wepesi wa kujibu lakini ninawashauri pia muwe wepesi wa kuelewa mambo.
Swali langu ambalo nilikuwa ninahitaji ufafanuzi nililielekeza mahususi kwa John na amelitolea majibu mazuri kabisa.
Next time mjitahidi kusoma na kuelewa.