Bora umenisaidia mzee, nilishawahi kumshauri jamaa asipende kudownload picha kwenye mitandao na kuzipost hapa bila uhakika, as if yeye ndio kapga picha!
tazama sasa watu wanaoishi jirani na mlima na kuuona kila siku wanambishia, yeye analazimisha kwa ushahidi wa picha ya mtandao..
daah! jamaa huyu bana..
Nway, studies zinasema hatua madhubuti zisipochukuliwa, barafu inaweza kuyeyuka yote in two decades.. So ni jukumu letu watanzania kutunza misitu na mazingira yote kwa ujumla.. Otherwise we'll all suffer the consequence..
ujumbe umemfikia popote alipo
Mara nyingi huwa namuuliza ana miaka mingapi? Maana huwa ana post picha humu ambazo hazina maana kabisa.
Mara ooh nyumba yangu, mara mke wangu, mara familia yangu nashangaa huu hajasema "mlima wangu". Ana mambo ambayo wanafanya watoto wa miaka mitano.
Mara nyingi huwa
namuuliza ana miaka mingapi? Maana huwa ana post picha humu ambazo
hazina maana kabisa.
Mara ooh nyumba yangu, mara mke wangu, mara familia yangu nashangaa huu
hajasema "mlima wangu". Ana mambo ambayo wanafanya watoto wa miaka
mitano.
Hapo unanilisha maneno chifu.
Ninachokisema (kwa msaada wa tafiti zilizofanyika Mlima KLM), ni kwamba, mchango wa theluji katika mfumo wa maji kwenye hiyo ikolojia ni 'almost scientifically insignificant'. Sababu zilizotolewa nimeshakwambia: theluji kubwa uisha kwa kwenda kwenye hali ya ugesi na ile ya mchango wa 'cloud forest' kutoka kwenye montane forest zone.
Mimi hadi nimekutajia mtu mwenye 'authority' katika hilo, bwana Andreas Hemp.
Sasa kama wewe una ushahidi wa mchango wa theluji katika mito, basi onyesha hapa.
If it's about acknowledging such kind of modest contribution, there is no problem with me and the scientific world.
My only problem is with this kind of statement, "Barafu ikikauka maana yake mito inayopata maji kutokana na barafu ya mlima nayo itakauka", which is completely ridiculous in the context of melting glaciers in Mt. KLM.
Ok. Here is the counter argument.
The forests of Kilimanjaro above 1300m a.s.l. receive nearly 1600 million cubic meters water annually, 95% by rainfall and ca. 5% by fog interception. About 500 million cubic meters of water (31%) percolate into the groundwater or into streams. If one assumes that fog precipitation is close to zero once the forest is destroyed, the loss of 150km2 of subalpine forests since 1976 corresponds to an estimated loss of 20 million cubic meters of fogwater deposition per year. This is more than a quarter of the estimated annual fogwater yield of the whole forest belt or equivalent to the annual water demand of the 1 million inhabitants on Kilimanjaro (according to numbers given by United Republic of Tanzania and CES, 2002). In contrast, the average annual water output of the 2.6km2 of glaciers can be estimated at only 1 million cubic meters (5%).
Cloud forests are of great importance for watersheds in East Africa (Pocs, 1976). In addition to the function of filtering and storing water, the upper montane and subalpine cloud forests have a high potential of collecting cloud water (cp. e.g. Cavelier & Goldstein, 1989; Juvik & Nullet, 1993; Cavelier et al., 1996; Bruijnzeel, 2001). Fog interception increases with altitude, and so does its contribution to water yielding. Thus, the loss of cloud forests because of climate-induced fires as well as the loss of montane forest because of clearing causes a considerable reduction and enhanced variability of water yields of the Kilimanjaro catchments, affecting over 1 million people living on the mountain, by far exceeding the hydrological consequences of the loss of the glaciers.
Compared with these landscape changes, the hydrological significance of the melting of the glaciers is almost negligible. However, the disappearance of the glaciers is an alarming indicator of the substantial changes in the Kilimanjaro environment. At current rates of incidence, fires will have made most of Kilimanjaros high-altitude forests extinct within the next few years, and with this, the mountain will have lost its most effective water source in the fog interception
zone. With its glaciers, Kilimanjaro will lose a part of its beauty and an important archive of paleoclimatic records (Thompson, 2000); with its forests, it loses its major ecosystem service to a water-demanding society.
Source: Hemp, 2005. Climate change-driven forest fires marginalize the impact of ice cap wasting on Kilimanjaro. Global Change Biology 11: 1013-1023.
That has been highly politicised, neglecting scientific facts about melting ice at the Arctic/Greenland and sea level rising.
What I am trying to say is, it is very true that melting ice does lead to sea level rising, but when compared to thermal expansion of ocean water as a result of increased global temperature, its contribution isn't significant.
Check out this:
One effect of global warming that everyone has heard about is a rise in sea levels. About half of this rise is due to thermal expansion: Ocean temperatures are rising, and as water warms it expands. Put a nearly full cup of water in a microwave and heat it, and the water will spill over the cup.........and of course the actual sea level would be much higher due to thermal expansion of the worlds oceans as they warm.
Source: Thompson, L. 2010. Climate change: The evidence and our options. The Behavior Analyst 33(2): 153-170.
Hujagusia kabisa the meltdown of polar ice. Umekimbia angle hiyo ya discussion.
Of course barafu ikikauka, maana yake mito inayopata maji kutokana na barafu itakauka. That is a logical tautology. How can you argue against that? Mambo mengine ya significance ya amount ni secondary.
The idea kwamba kuna mtu mwenye authority katika haya mambo is laughable. Usiniambie nani ana authority, niambie logic ya idea yake. Aristotle alikuwa an authority in all matters, aka deduce uongo ulioaminika kwa karibu miaka 2000. Kila mtu aliyesoma anaogopa kumpinga, kwa sababu yeye ni Aristotle, an authority. Mpaka akaja Galileo akafanya experiment na kugundua alichosema Aristotle, the authority on physics, kuhusu vitu vizito kuanguka kwa kasi zaidi in a natural state kuwa si sawa.
So don't flaunt authorities, every authority you can cite has a counter authority I can cite since the matter is now rather political. Nipe logic. Don't try to intimidate me with names and authorities.
Even though the direct contribution of snow/ ice to the rivers and rivulets is statistically insignificant, the contribution of this ice to the hydrosystem is not to be underrated. You cannot remain with a stable ecosystem after the depletion of the ice.
Taswira ya Mlima Kilimanjaro inavyoonekana kwa sasa baada ya kuyeyuka Barafu yote, ikiwa imebakia sehemu kidogo tu juu ya Kilele cha Mlima huo, ni kutokana na Mabadiliko ya Tabianchi na uhalibifu wa Mazingira uliokithiri
Nitumie kwenye email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.comMkuu sio weli unachosema na Picha iliyopo hapo. Nakuheshimu sana na umekuwa msaada sana hapa jf lakini kwa hili la mlima sio kweli hata kidogo. Nina Picha za leo za mlima kilimanjaro,nimeupiga mwenyewe saa tano asubuhi nimeshindwa kuziweka hapa ila nawrza kutuma kwenye mail yako Kama utanitumia. Mlima una barafu ya kutosha, hata mlima kibo pia una barafu. Please naomba tu nipe email yako nikutumie ili Uweke hapa. Nipo hapa Omi kibosho jirani kabisa na mlima
Huo ni mlima kilimanjaro wa wapi...kama ni huu wetu wa hapa moshi...kinyume chake ni kweli zaidiBarafu la Mlima Kilimanjaro lakauka Mlima mweupeee.
Taswira ya Mlima Kilimanjaro inavyoonekana kwa sasa baada ya kuyeyuka Barafu yote, ikiwa imebakia sehemu kidogo tu juu ya Kilele cha Mlima huo, ni kutokana na Mabadiliko ya Tabianchi na uharibifu wa Mazingira uliokithiri. (Picha na
SUFIANIMAFOTO).
Taswira ya mlima huo na Kilele cha Mlima Kibo.
Mlima Kilimanjaro Kushney, kama unavyoonekana ukiwa hauna Barafu huku iliyobaki ikielekea kumalizika kwa kuyeyuka. (Picha na SUFIANIMAFOTO).
Chanzo. Barafu la Mlima Kilimanjaro lakauka Mlima mweupeee.
Yaani ndio ukweli wenyewe. Mto Pangani/Pangani river basin yote kutakuwa na matatizo mengi sana sababu the entire ecosystem will be affected. Watu wanadhani ni mzaha lakini itakuwa balaa mkuu
Mara nyingi huwa namuuliza ana miaka mingapi? Maana huwa ana post picha humu ambazo hazina maana kabisa.
Mara ooh nyumba yangu, mara mke wangu, mara familia yangu nashangaa huu hajasema "mlima wangu". Ana mambo ambayo wanafanya watoto wa miaka mitano.
mkuu MziziMkavu sema tu unahitaji the latest pictures za mlima kilimanjaro...
View attachment 128097
Basically unacho argue hapa ni kwamba hakuna mto unaopata maji yake kutokana na theluji ya mlima Kilimanjaro.
Which is absurd however you spin it. Since this is a worldwide phenomenon that happens even in temperate climes, and even if this effect may not be as pronounced in tropical climes, due to sublimation taking primacy over melting, one would expect an acknowledgement of this modest contribution since in ecology it is not unheard of to have a tailspinning "butterfly effect".
You are tossing aside the entire notion.
http://www.ce.utexas.edu/prof/mckinney/ce397/Topics/Glaciers/Glaciers_2010.pdf
The Shrinking Glaciers of Kilimanjaro: Can Global Warming Be Blamed? » American Scientist
Whether the ice is melting or sublimating is a technical distinction without a difference in the end results, since the end result is removal of H20 from the immediate hydrology of the mountain.
As for glaciers melting causing sea levels to rise, the density of ice about is 0.9167 g/cm3 while that of water is about 1g/ cm3. That means the same cm3 would contain one gram of water as it would 0.9167 grams of ice. You can pack more H2O matter in a cm3 in the form of ice than you can pack in the form of water. That means if you have a cup filled with ice to the brim, and you let it melt into water, the cup will overflow, because there will be an increase of matter in volume by a factor of 0.0833 for every cm3.
This is rather elementary, unless you have another expert study to counter this basic fact with another distinction without a difference.
Who is shooting himself in the foot now?
Are you denying basic physics?
Melting ice a 'sleeping giant' that will push sea levels higher, scientist says
John Roach NBC News
- Facebook Share on Facebook
- GooglePlus
Dec. 13, 2013 at 3:18 PM ET
Melting ice a 'sleeping giant' that will push sea levels higher, scientist says - NBC News.com
Endelea hapa
Melting ice a 'sleeping giant' that will push sea levels higher, scientist says - NBC News.com
Marhabaa binti mrembo hujambo?shikamoo Washawasha