Barack Obama kawaangusha watu weusi wa Marekani na Waafrika

Barack Obama aliingia madarakani akibeba matumaini makubwa sana ya watu weusi wa Marekani na waafrika wengi kwa ujumla. Watu walifurahi sana na nyimbo nyingi zikaimbwa kusherehekea ujio wa nabii na shujaa huyu mweusi.

Huku kwa mataifa yetu tulitembea kifua mbele tukijua we have a Big brother. "What a proud moment to live" ilikua kama bahati kumshuhudia Rais wa kwanza wa Marekani kutoka kwa jamii ya watu weusi.

Alitukumbusha ndoto Maarufu ya Mwanaharakati Martin Luther King.

Ila sasa muhula wake wa kwanza ukapita muhula wa pili nao ukafuatia ukapita, akamaliza kipindi chake cha urais hata huko uraiani kama Rais mstaafu hatujaona kile ambacho tulikitegemea.

Mtu mweusi wa Marekani amebakia kua mtumwa, akiendelea kubaguliwa na kunyimwa haki nyingi kama raia wa Marekani.

Huku Afrika tumebaki tukipigana vita vyetu wenyewe kama ilivyokuwa kabla.

Juzi tu kama Tanzania, ilipopata msiba mkubwa, tulipata salamu za rambirambi kutoka kwa Malkia kwanza ila za Jirani yetu na ndugu yetu mjaluo Obama sikuziona. Kuna nukuu moja ya mpambanaji Samora Machel kama ntaikumbuka vizuri inasema "siku mtakayoona nikisifiwa na watu weupe msinipe siri zenu tena hata nikiwauliza maana nitakua nimeshawasaliti"
Nenda katembelee kwenye page zake za kijamii ni Rais anayependwa sana na kusifiwa na watu weupe.
Kwa nafasi yake hakuna mtu mweusi anayeweza kuifikia kirahisi kwa miaka ya hivi karibuni ila mchango wake huwezi kuulinganisha na watu kama kina Malcom X, Martin Luther, Jesse Jackson pamoja na Mashujaa wetu wa Afrika kina Nyerere, Lumumba na wengine wengi waliopambana kutetea haki na utu wa mtu mweusi wa Marekani na Afrika. Anapoondoka anatuachia alama gani? Wamarekani weusi watamkumbuka kwa lipi sisi Waafrika tumkumbukeje?
Badala ya kuwaza bilioni 4 ulizoiibiwa na mtu m1 unamlilia Obama...inatusaidia nini sasa?🙄
 
Obama aliivuruga dunia.Iraq,Libya,Ivory coast, Afghan stan. Trump haikuendeleza vita za Obama.
 
Barack Obama aliingia madarakani akibeba matumaini makubwa sana ya watu weusi wa Marekani na waafrika wengi kwa ujumla. Watu walifurahi sana na nyimbo nyingi zikaimbwa kusherehekea ujio wa nabii na shujaa huyu mweusi.

Huku kwa mataifa yetu tulitembea kifua mbele tukijua we have a Big brother. "What a proud moment to live" ilikua kama bahati kumshuhudia Rais wa kwanza wa Marekani kutoka kwa jamii ya watu weusi.

Alitukumbusha ndoto Maarufu ya Mwanaharakati Martin Luther King.

Ila sasa muhula wake wa kwanza ukapita muhula wa pili nao ukafuatia ukapita, akamaliza kipindi chake cha urais hata huko uraiani kama Rais mstaafu hatujaona kile ambacho tulikitegemea.

Mtu mweusi wa Marekani amebakia kua mtumwa, akiendelea kubaguliwa na kunyimwa haki nyingi kama raia wa Marekani.

Huku Afrika tumebaki tukipigana vita vyetu wenyewe kama ilivyokuwa kabla.

Juzi tu kama Tanzania, ilipopata msiba mkubwa, tulipata salamu za rambirambi kutoka kwa Malkia kwanza ila za Jirani yetu na ndugu yetu mjaluo Obama sikuziona. Kuna nukuu moja ya mpambanaji Samora Machel kama ntaikumbuka vizuri inasema "siku mtakayoona nikisifiwa na watu weupe msinipe siri zenu tena hata nikiwauliza maana nitakua nimeshawasaliti"
Nenda katembelee kwenye page zake za kijamii ni Rais anayependwa sana na kusifiwa na watu weupe.
Kwa nafasi yake hakuna mtu mweusi anayeweza kuifikia kirahisi kwa miaka ya hivi karibuni ila mchango wake huwezi kuulinganisha na watu kama kina Malcom X, Martin Luther, Jesse Jackson pamoja na Mashujaa wetu wa Afrika kina Nyerere, Lumumba na wengine wengi waliopambana kutetea haki na utu wa mtu mweusi wa Marekani na Afrika. Anapoondoka anatuachia alama gani? Wamarekani weusi watamkumbuka kwa lipi sisi Waafrika tumkumbukeje?
Nami narudia . Wewe ni mpuuzi. America si kama Tanzania kwamba Rais akiingia anaweza kufanya apendavyo. No kule taasisi zao zina nguvu kuliko mtu binafsi . Ndiyo maana umeona kichaa cha Trump kimetulizwa. Ingekuwa Africa Trump angelifia madarakani .

So Obama asingeweza kufanya makubwa juu ya wa Africa na watu weusi duniani . Ni kwa sababu hatujitambui. Nakumbuka alipoingia madarakani alifanya ziara mara kadhaa Africa . Na moja alifanyia Adis aababa kwenye mkutano wa AU aliwashauri viongozi wetu kutengeneza taasisi imara badala ya viongozi imara. Alipoondoka tu Marais watatu walibadili katiba zao ili wajiongezee mihula madarakani (Mseveni, Kagame & Nagsimbe). So alijaribu kuweka kitu lakini aina ya viongozi tulionao ndiyo kama hawa waTz . Waliodai apende asipende anabaki madarakani eg Ndugai & co

Odhis *
 
Nami narudia . Wewe ni mpuuzi. America si kama Tanzania kwamba Rais akiingia anaweza kufanya apendavyo. No kule taasisi zao zina nguvu kuliko mtu binafsi . Ndiyo maana umeona kichaa cha Trump kimetulizwa. Ingekuwa Africa Trump angelifia madarakani .

So Obama asingeweza kufanya makubwa juu ya wa Africa na watu weusi duniani . Ni kwa sababu hatujitambui. Nakumbuka alipoingia madarakani alifanya ziara mara kadhaa Africa . Na moja alifanyia Adis aababa kwenye mkutano wa AU aliwashauri viongozi wetu kutengeneza taasisi imara badala ya viongozi imara. Alipoondoka tu Marais watatu walibadili katiba zao ili wajiongezee mihula madarakani (Mseveni, Kagame & Nagsimbe). So alijaribu kuweka kitu lakini aina ya viongozi tulionao ndiyo kama hawa waTz . Waliodai apende asipende anabaki madarakani eg Ndugai & co

Odhis *

wewe mla mihogo ya kukaanga asubuhi ndio unaisemea marekali,serious!!!

unaijua mamlaka ya rais wa marekani sawa sawa!!!
au hata hujamwelewa mletamada??
 
wewe mla mihogo ya kukaanga asubuhi ndio unaisemea marekali,serious!!!

unaijua mamlaka ya rais wa marekani sawa sawa!!!
au hata hujamwelewa mletamada??
Umekurupukia wapi nawe ?!. Au ulikuwa na jibu tayari !!.

Angefanya nini kwa viongozi wasiojielewa na wabinafsi kama hawa tulionao ?! Ulitaka ailazimishe serikali ya US kuijenga Africa kwa nguvu ?! Huko Rais hana ubavu huo . Yapo mambo aliopewa mamlaka kujiamulia lakini mengine lazima yapitishwe na taasisi zao.

Odhis *
 
Umekurupukia wapi nawe ?!. Au ulikuwa na jibu tayari !!.

Angefanya nini kwa viongozi wasiojielewa na wabinafsi kama hawa tulionao ?! Ulitaka ailazimishe serikali ya US kuijenga Africa kwa nguvu ?! Huko Rais hana ubavu huo . Yapo mambo aliopewa mamlaka kujiamulia lakini mengine lazima yapitishwe na taasisi zao.

Odhis *
Hatuhitaji Misaada zaidi ila kwa position aliyonayo hata kukemea hayo maovu yanayoonekana.

Hauachi mambo yakaenda hovyo kwa kisingizio cha viongozi wa Afrika hawajitambui..sasa kama hao ndio viongozi wa Afrika hao wananchi huko chini hali ikoje?
 
Umekurupukia wapi nawe ?!. Au ulikuwa na jibu tayari !!.

Angefanya nini kwa viongozi wasiojielewa na wabinafsi kama hawa tulionao ?! Ulitaka ailazimishe serikali ya US kuijenga Africa kwa nguvu ?! Huko Rais hana ubavu huo . Yapo mambo aliopewa mamlaka kujiamulia lakini mengine lazima yapitishwe na taasisi zao.

Odhis *

hueleweki mara viongozi wabinafsi,mara hajapewa mamlaka hayo,kipi unasimamia hap!!

mletamada anazungumzia kuhusu heshima ya mtu mweusi na utu wake,wewe sijui unawaza maharage ya wapi!!!!
 
Barack Obama aliingia madarakani akibeba matumaini makubwa sana ya watu weusi wa Marekani na waafrika wengi kwa ujumla. Watu walifurahi sana na nyimbo nyingi zikaimbwa kusherehekea ujio wa nabii na shujaa huyu mweusi.

Huku kwa mataifa yetu tulitembea kifua mbele tukijua we have a Big brother. "What a proud moment to live" ilikua kama bahati kumshuhudia Rais wa kwanza wa Marekani kutoka kwa jamii ya watu weusi.

Alitukumbusha ndoto Maarufu ya Mwanaharakati Martin Luther King.

Ila sasa muhula wake wa kwanza ukapita muhula wa pili nao ukafuatia ukapita, akamaliza kipindi chake cha urais hata huko uraiani kama Rais mstaafu hatujaona kile ambacho tulikitegemea.

Mtu mweusi wa Marekani amebakia kua mtumwa, akiendelea kubaguliwa na kunyimwa haki nyingi kama raia wa Marekani.

Huku Afrika tumebaki tukipigana vita vyetu wenyewe kama ilivyokuwa kabla.

Juzi tu kama Tanzania, ilipopata msiba mkubwa, tulipata salamu za rambirambi kutoka kwa Malkia kwanza ila za Jirani yetu na ndugu yetu mjaluo Obama sikuziona. Kuna nukuu moja ya mpambanaji Samora Machel kama ntaikumbuka vizuri inasema "siku mtakayoona nikisifiwa na watu weupe msinipe siri zenu tena hata nikiwauliza maana nitakua nimeshawasaliti"
Nenda katembelee kwenye page zake za kijamii ni Rais anayependwa sana na kusifiwa na watu weupe.
Kwa nafasi yake hakuna mtu mweusi anayeweza kuifikia kirahisi kwa miaka ya hivi karibuni ila mchango wake huwezi kuulinganisha na watu kama kina Malcom X, Martin Luther, Jesse Jackson pamoja na Mashujaa wetu wa Afrika kina Nyerere, Lumumba na wengine wengi waliopambana kutetea haki na utu wa mtu mweusi wa Marekani na Afrika. Anapoondoka anatuachia alama gani? Wamarekani weusi watamkumbuka kwa lipi sisi Waafrika tumkumbukeje?
Hahahaha
Dah inashangaza yaan una lilia POLE ? Hii sio sawa mtoa UZI.

Kumbuka mchuma janga hulia na nduguze sasa tambuaa Obama sio ndugu zako ile ni rangi tu ngozi ila moyon mwake ni mtu mweupe
 
Kwa watu wanaofuatilia mwenendo wa vuguvugu la BLM utagundua wengi bado wanalalamikia sheria nyingi kandamizi dhidi ya mtu Mweusi wa Marekani.
Hata kama huku kwetu Afrika tutakua tukimtwisha mzigo mzito sisi tutajipambania wenyewe.

Ila swali la msingi linabaki kuwa amewafanyia nini wamarekani weusi ambao bado wanaendelea kuumia?

Mkuu,

Nina mashaka kama kweli unajua na kufuatilia kwa maana ya kuelewa aliyoyafanya huyo muungwana.
Hapo palipokolezwa pahusike;
Swali moja tu. Je, unajua ni nini? au umewahi kusikia kitu inaitwa OBAMACARE?
Iliwahi kuwepo kabla ya Obama kuingia Madarakani?
Kwa faida yako tu ingawa haibagui Raia ila wafaidika wakubwa ni 'Waswahili' kama ulivyopenda kujua.

Yule 'Mwehu' alieondoka juzi alikuwa hataki hata kuisikia hiyo OBAMACARE lakini ameshindwa kuifuta kwakuwa ipo Kisheria na Akijua inamfaidisha nani zaidi.

Hicho ni kimojawapo ya vitu muhimu sana ambavyo 'Waswahili' wale hawawezi kumsahau Bw. Obama kwacho,
Nikutajie kingine?
 
Kwa Hulka na Fikra hizi kwamba mtu individual ndio atakukomboa wewe na sio wewe mwenyewe na jamii yako ndio sababu kubwa ya kutokujikomboa...
 
Back
Top Bottom