Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,118
- 1,915
BURUDANI Rapa Meek Mill wa Marekani ameweka wazi kuhusu kuutaka uraia wa Ghana baada ya kuchoshwa na vitendo vya kinyanyasaji kwa watu weusi nchini Marekani ikiwemo ulawiti uliokithiri kwa wanaume
Mill ameandika hayo kupitia mtandao wake wa X ambapo anadai anautaka uraia wa Ghana kwasababu Marekani ipo kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.
Kipindi cha hivi karibuni Meek Mill ametajwa kwenye skendo ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja na Rapa P Diddy ambaye tayari ana kesi ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Marekani.