Wanasahau kuwa alikuwa rais wa Marekani kwa ajili ya WamarekaniMlitaka awapeni ma Mercedes Benz kila mtu mawili mawili sivyo?
Mkuu kipengele cha mwisho...kula kwa shangazi...ongezea nyama plzMiafrika ndivyo mlivyo,mnamlaumu Magufuli hajawahi hata kusafiri siku 1 kwenda nje.
Mnalaumu
Obama ni Mulatta yule wala hawajui nyie muacheni Ndo mana alilia alipokatazwa kwenda kula ugali kwa shangazi yake.
Wewe hujui kuwa hujui hilo ndio tatizo lako kubwa na pia inaelekea unataka utafuniwe.SIJAKURUPUKA kila mmoja anapimwa kutokana na nafasi aliyoipata kwenye jamii, waliokuja kumtetea Obama wamezungumzia Obamacare ambayo naona ndicho hicho tu atakachokumbukwa.
Sasa kama Obamacare is his only legacy huoni kama amefanya chini ya matarajio ya wengi.