Barack Obama kawaangusha watu weusi wa Marekani na Waafrika

Mpaka siku 21 za hayati ziishe tutasikia na kuona Mengi.
 
Miafrika ndivyo mlivyo,mnamlaumu Magufuli hajawahi hata kusafiri siku 1 kwenda nje.

Mnalaumu

Obama ni Mulatta yule wala hawajui nyie muacheni Ndo mana alilia alipokatazwa kwenda kula ugali kwa shangazi yake.
Mkuu kipengele cha mwisho...kula kwa shangazi...ongezea nyama plz
 
SIJAKURUPUKA kila mmoja anapimwa kutokana na nafasi aliyoipata kwenye jamii, waliokuja kumtetea Obama wamezungumzia Obamacare ambayo naona ndicho hicho tu atakachokumbukwa.

Sasa kama Obamacare is his only legacy huoni kama amefanya chini ya matarajio ya wengi.
Wewe hujui kuwa hujui hilo ndio tatizo lako kubwa na pia inaelekea unataka utafuniwe.

Kuna mwenzako nimemuwekea makubwa yaliyofanywa na huyo muungwana katika Uzi huuhuu zaidi ya hilo swala la Obamacare.

Tusichoshane kwa Uvivu wenu wa kutofuatilia mambo.
 
Back
Top Bottom