Barabara za Dar ni Machinjio Usiku

Barabara za Dar ni Machinjio Usiku

Marumeso

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2009
Posts
1,408
Reaction score
1,332
Kwa uchunguzi wangu mdogo barabara za Dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabarani muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hadi huruma.

Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.

Anyway, kila mtu atavuna alichopanda.

Acha wafe tu, hakuna namna.

Raha yako is equal to kifo chako
 
Yaani hadi huruma.

Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.

Anyway, kila mtu atavuna alichopanda.

Acha wafe tu, hakuna namna.

Raha yako is equal to kifo chako
Wanaokufa sio watumia vyombo vya Moto tu hata watumiaji wengine wa barabara wanapatwa na ajali hizo kwa uzembe wa wengine, hata wewe unaweza kugongwa na mlevi, utasema acha ufe tu!
 
Mfano, mtembea kwa miguu anaona gari moja linakuja yeye badala ya kungojea lipite kisha avuke ila yeye anaamua kupambana na gari kwa kupima mwendo wa gari kwa macho.

Any way, kwa hii issue ya ajari "sote tunahitaji umakini"
 
Wanaokufa sio watumia vyombo vya Moto tu hata watumiaji wengine wa barabara wanapatwa na ajali hizo kwa uzembe wa wengine, hata wewe unaweza kugongwa na mlevi, utasema acha ufe tu!
Ndio maana nasema JF imepoteza GT. Asante kwa kumwelewesha
 
Kwa uchnguzi wangu mdogo barabara za dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabaran muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa kama mwanadsm na Mtanzania unayependa maslahi ya nchi yako unashauri nini kifanyike kutatua tatizo hili?
 
Yaani hadi huruma.

Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.

Anyway, kila mtu atavuna alichopanda.

Acha wafe tu, hakuna namna.

Raha yako is equal to kifo chako
Usicomment kabla ya kufikiri. Ajali haiwapati walevi tu, Na sio kila aendeshaye usiku ni wa anasa Na starehe, wengine wanakuwa kwenye majukumu yao kikazi, wengine wanapaswa Na dharura Na hujikuta wamepatwa na janga la ajali bila kutegemea Na wengine kusababishiwa. Nakushauri kabla ya kukomenti hebu shirikisha na ubungo wako kidogo.
 
Barabara zote ziwekwe taa na ziwe zinawaka na kufungwa camera ambazo control inakuwa Polisi Hq then wale wote wanaofanya makosa magari yao yanakamatwa na kupiga fani kubwa sana.

Na waliosababisha vifo na majeru ni mahakani.

Itakuwa soma kwa watuamiajiaji magari usiku au bodaboda
 
Yaani hadi huruma.

Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.

Anyway, kila mtu atavuna alichopanda.

Acha wafe tu, hakuna namna.

Raha yako is equal to kifo chako
Shetani pombe ndio kitu gani??

acha wivu kwa wanywaji.
 
Barabara zote ziwekwe taa na ziwe zinawaka na kufungwa camera ambazo control inakuwa Polisi Hq then wale wote wanaofanya makosa magari yao yanakamatwa na kupiga fani kubwa sana.

Na waliosababisha vifo na majeru ni mahakani.

Itakuwa soma kwa watuamiajiaji magari usiku au bodaboda

Aseeh ii itasaidia
 
Back
Top Bottom