Barabara za Dar ni Machinjio Usiku

Barabara za Dar ni Machinjio Usiku

Kwa uchnguzi wangu mdogo barabara za dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabaran muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app


Tuliambiwa very soon zitafungwa camera za monitoring ya uendeshaji vyombo vya moto jijini, hebu tusubiri
 
Kwa uchnguzi wangu mdogo barabara za dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabaran muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
ulevi unasababisha kwa asilimia kubwa
 
Kwa uchnguzi wangu mdogo barabara za dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabaran muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1502182701823.jpg
dc478906d1827c877c678d99eda39d28.jpg

usiku wa kuamkia jana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usicomment kabla ya kufikiri. Ajali haiwapati walevi tu, Na sio kila aendeshaye usiku ni wa anasa Na starehe, wengine wanakuwa kwenye majukumu yao kikazi, wengine wanapaswa Na dharura Na hujikuta wamepatwa na janga la ajali bila kutegemea Na wengine kusababishiwa. Nakushauri kabla ya kukomenti hebu shirikisha na ubungo wako kidogo.


Usishangae ukiambiwa mchangiaji naye amepata 5 ndizo zimemfanya kuandika alichoandika
 
Nilikoswa kama miaka kumi iliyopita trafic light za ilala ofisi ya mkuu wa mkoa .nilikuwa natoka kinondoni mida ya saa Sita usiku taa zilikuwa zinaniruhusu ila nikajipa muda kuangalia magari yanayotoka ilala.,hamadi landcruiser linatoka ilala lilipita kwenye red speed zaidi ya 120 gari nililokuwa naendesha lilizima gafla kwa mshutuko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hadi huruma.

Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.

Anyway, kila mtu atavuna alichopanda.

Acha wafe tu, hakuna namna.

Raha yako is equal to kifo chako
Usiseme ivyo mkuu kwa sababu saa zingine ajali inawacost hata wale wasiokua na hatia na ni ajali hizo hizo za pombe
 
Kuna siku moja alfajiri natokea tegeta kufika mbuyuni nikakuta rav4 imekula mzinga na maiti bado iko ndani, kwenda mbele kidogo kufika jogoo nakuta bodaboda na abiria wake wamelala barabarani damu imesambaa, nilipofika makongo kwenye daraja nikakuta boda nyingine na abiria wake wamekufa nahisi abiria alikua anaenda ubungo alikua na mabegi, ile siku niliiona ni mbaya sana kwangu nilitamani nirudi nyumbani nikalale tu, njia ya tegeta mwenge ni hatari sana usiku ukichangia na malori usipokuwa makini hufiki uendako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli ili kuanza kupunguza tatizo,nashauri serikali ifunge bar zote kuanzia ijumaa mpaka jtatu asubuhi. .

Nafikiri tutakuwa tumepunguza tatizo angalau 60%.
Vipi kuhusu kodi mkuu,,? Tutawezaje kuwasomesha watoto wetu bure bila kukusanya kodi kwenye hizi bar na maeneo mengine,,,,
 
Just recently imeondoka na ndugu yangu ..
 

Attachments

  • IMG-20171007-WA0030.jpg
    IMG-20171007-WA0030.jpg
    74.6 KB · Views: 46
Vijana wa DSM wanaotumia vyombo vya moto ni watumiaji wa HOVYO sana wa barabara nyakati zote tu. Sasa usiku ukichanganya na balimi + hakuna askari ndio mtu anaendesha utafikiri yupo Somalia kusiko na sheria. Tunahitaji elimu na kutii sheria iwe UTAMADUNI. Wengi wanadhani kutii sheria ni kwa ajili ya kuwaridhisha askari barabarani pekee.
 
Kwa uchunguzi wangu mdogo barabara za Dar ni moja ta sehemu hatari sana hasa nyakati za usiku.

Pengine kwa sababu muda huo kunakua hakuna matrafiki na watu wengi wanakuwa wametoka kupata moja moto ukitembea huwezi kukosa wastani wa ajali 3-5 huko mabarabarani na zingine zinagharimu maisha ya watu kwa sababu watu wanajiachia sana barabarani muda huo. Mwanadsm beware na safari usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ni vijana wenye vigari vyao vya kijapani.
wakimuona mtu anavyokwenda kispoti barabarani na BMW yake wao pia hudhani toyota unaweza kwenda nayo hivyo hivyo!
vijana mtaondoka sana!!
 
Huku njia ya tegeta ni Kama barabara ya mashindano kabsa unakuta MTU anaenda na speed 140 like serious
 
Back
Top Bottom