Abigail2011
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 519
- 230
Wee!,wee!,weee!;Acha kabisa kuyasingizia Maji matamu kabisa ya Ilala!, ajali haina kinga,na nyingine ni uzembe na kutokuwa makini barabarani.Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.
Wee!,wee!,weee!;Acha kabisa kuyasingizia Maji matamu kabisa ya Ilala!, ajali haina kinga,na nyingine ni uzembe na kutokuwa makini barabarani.Nyingi za ajari hizo husababishwa na shetani pombe.
Club zifungwe ama?Pombe pombe zina mchango mkubwa. Utakuta mpaka saa tisa za usiku kuna Watu wanatoka club wakiendesha
Mhh! Ndugu hapo kwenye balimi kama unanisema mimi! Maana nikizitandika hizo usiku halaf ndo nimechelewa kurudi hm usiku nikiingia na ki corolla changu barabaran utafikiri barabara yote yangu halafu maroli mwee!Vijana wa DSM wanaotumia vyombo vya moto ni watumiaji wa HOVYO sana wa barabara nyakati zote tu. Sasa usiku ukichanganya na balimi + hakuna askari ndio mtu anaendesha utafikiri yupo Somalia kusiko na sheria. Tunahitaji elimu na kutii sheria iwe UTAMADUNI. Wengi wanadhani kutii sheria ni kwa ajili ya kuwaridhisha askari barabarani pekee.
bado yapoHivi wale team subaru na team altezza wameshaacha yale mashindano yao ya usiku?
Dah....mie ningependekeza magari yote binafsi iwe mwisho kuingia barabarani saa 11 jioni [emoji41]Ukiwa kama mwanadsm na Mtanzania unayependa maslahi ya nchi yako unashauri nini kifanyike kutatua tatizo hili?