MKUU UMENENA KWELI, ujinga wa nchi kama nchi
unsonekana katika utekelezaji wa barabara hii inayojengwa na Strabag.
Haingii akilini kwa mradi kubwa unao tifua jiji zima ukafanya bila
kuxingatia awamu za utkelezaji.
Tunaweza kumlaumu Strabag lakini kosa la kupanga na kupanga utekekezaji ni kwa maelekezo ya
"wataakam" wetu
nvhini ambao hawafanyi kazi
yso, kila siku ni
vikso vidivyokwisha na hatimaye kila mtu kukwepa wajibu wake.
Katika mradi huu wa BRT yafuatayo sasa yamejulikana:
- hapakuwa na execution plans zozote kwa maana ya michoro ya usanifu wa barsbars yenyewe
- wakandarasi, akiwemo strabsg waliajitiwa bila matsyaridho yote ya ujenxi kukamiliks
- wasimamizi wa mradi kwa upande wa seriksli waliajitiwa BAADA yawakandarasi kupewa zabuni
- wakandarsso ksribu wote wametifua tifus jiji xima ili tu waonekane wanafanys kazi lskini kaxi yenyewe ndio kama tunavyoiona
- hata viongoxi wa mradi wenyewe inaelelekea walixipata nafasi hixo kwa ajili ya ulaji tu, na hata Waxiri wa Ujenzi aliwahi kuwalalamikia mbele ya Rais, na wengine wametimuliwa, lskini its almost too late to rectify the damage done
- sasa hivi ni waxi kuwa kwa miradi mikubwa itakayotekelezwa kwa kushirikisha wizars ya TAMISEMI,[/color] miradi hiyo itashindwa tu, na mradi huu ni kielelezo, Halmashauti ya jiji la DSM halijawahi kuendesha mradi wowote kwa ufanisi, nia na uwezo huo hawana.
Kwa mtaji huo hapo juu, hata mradi wenyewe ukukamilika, mimi binafsi sina mategemeo sana ya kuona mafanikio.
Hii ni kwa
vilr kama wanavyosema, planning and execution ya project inafanywa na watu ambao wako blindfolded.
I dont expect much from Strabag either, wao ni wa kuelekezwa tu nini cha kufanya, kama muelekezaji hajui anataka nini, Strabag hana ujanja wa kufanya lolote.