A
Anonymous
Guest
Mimi ni mkazi wa Njeteni, Kata ya Kwembe (Ubungo, Dar es Salaam) huku kwetu kuna kero ya barabara kuwa mbovu.
Changamoto hiyo inasababisha ajali na usumbufu mkubwa hasa kwa watoto wa shule, Barabara hiyo haijawahi sawazishwa kwa miaka karibu miwili sasa.
Tunaomba Serikali ya Mkoa iangalie hali hii kwani ni hatari kwa maisha ya watu na pia inarudisha nyuma harakati za kukuza Uchumi.
Mvua ikinyesha hali ndio huwa inakuwa mbaya zaidi kutokana na kutopitika kwa urahisi.
Changamoto hiyo inasababisha ajali na usumbufu mkubwa hasa kwa watoto wa shule, Barabara hiyo haijawahi sawazishwa kwa miaka karibu miwili sasa.
Tunaomba Serikali ya Mkoa iangalie hali hii kwani ni hatari kwa maisha ya watu na pia inarudisha nyuma harakati za kukuza Uchumi.
Mvua ikinyesha hali ndio huwa inakuwa mbaya zaidi kutokana na kutopitika kwa urahisi.