A
Anonymous
Guest
Huu ni mwezi wa nne tangu hali iwe mbaya zaidi, kila kiongozi anayekuja kazi yake ni kupiga picha na kuondoka lakini utekelezaji ni zero.
Barabara imeharibika kuanzia Msikitini wa Uzaramuni hadi Bondeni, Watu nyumba zao zinaning’inia kutokana na uharibifu wa mvua za tangu Mwaka jana (2023) hadi Mwaka huu (2024), tuomba kusaidiwa jamani, viongozi wetu wa Wilaya ya Ubungo (Dar es Salaam) wanatakiwa kuwajibika kwa kinachoendelea.
Wakati huu mvua zinanyesha hali ni mbaya zaidi kufika kwenye makazi yetu.