KwetuKwanza
Senior Member
- Mar 13, 2023
- 121
- 218
Barabara mbovu zimekuwa zikisababisha usumbufu kwa Watumiaji wa barabara hizo kwa muda mrefu sasa bila kufanyiwa matengenezo yoyote.
Tumekuwa tukipewa ahadi na Diwani wetu kuwa barabara hizo zitafanyiwa matengenezo lakini ahadi hizo zimekuwa azitekelezwi.
Sasa tunaelekea katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa Mwakani, sijui ndio atakuja kuanza kuerekebisha au ubovu huu utatumika katika kampeni za chaguzi hizo zinazokuja?