Barabara ya Madale haifanyiwi usafi, imejaa michanga na kusababisha utelezi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Mdau wa Jamii Forums amelalamika kuwa kuna kero huku Madale, Barabara ya Wazo Madale tangu iwekwe lami haifanyiwi usafi kiasi cha mchanga na udongo kujaa na kufunika sehemu kubwa ya Barabara, hali hiyo inasababisha utelezi hasa wakati wa mvua.

Viongozi wa Serikali za Mtaani kama wamelala hawafuatilii hali inavyozidi kuwa mbaya, hawa wakiambiwa hakuna wanachofuatilia.
 
Mdau wa Jamii Forums amelalamika kuwa kuna kero huku Madale, Barabara ya Wazo Madale tangu iwekwe lami haifanyiwi usafi kiasi cha mchanga na udongo kujaa na kufunika sehemu kubwa ya Barabara, hali hiyo inasababisha utelezi hasa wakati wa mvua.

Viongozi wa Serikali za Mtaani kama wamelala hawafuatilii hali inavyozidi kuwa mbaya, hawa wakiambiwa hakuna wanachofuatilia.
Mkuu umesahau kutuwekea japo ka picha.......
 
Sisi wa ilolwa Nsimba Barbara ya Rami haijawai fagiwa Toka izaliwe lakini Barbara ni safi usipime..nyie wa dar mnachafuaje barabara kizembe
 
Mdau wa Jamii Forums amelalamika kuwa kuna kero huku Madale, Barabara ya Wazo Madale tangu iwekwe lami haifanyiwi usafi kiasi cha mchanga na udongo kujaa na kufunika sehemu kubwa ya Barabara, hali hiyo inasababisha utelezi hasa wakati wa mvua.

Viongozi wa Serikali za Mtaani kama wamelala hawafuatilii hali inavyozidi kuwa mbaya, hawa wakiambiwa hakuna wanachofuatilia.
Si bora hiyo ya madale ina lami lakini mbezi kuelekea Msumi ni kiama mkuu.
 
Mdau wa Jamii Forums amelalamika kuwa kuna kero huku Madale, Barabara ya Wazo Madale tangu iwekwe lami haifanyiwi usafi kiasi cha mchanga na udongo kujaa na kufunika sehemu kubwa ya Barabara, hali hiyo inasababisha utelezi hasa wakati wa mvua.

Viongozi wa Serikali za Mtaani kama wamelala hawafuatilii hali inavyozidi kuwa mbaya, hawa wakiambiwa hakuna wanachofuatilia.
Wewe unatuletea habari za barabara ya lami wakati wale wa Msumi, Mbopo, Makabe na Mpiji Magoe huwasemei ni kama uchuro tu. Ni bora hao wenye lami kuliko wale wanaocheza rumba masaa matatu njiani. Kwanini mchanga kwenye lami unakwamisha kitu gani?
 
Siyo madale tu sehemu nyingi hiyo hali ipo,na hali hiyo ikienda miaka 3,4,5 mbele huko lami itapotea
Mtaanza kukwangua barabara muanze upya kuweka lami
Kitu ambacho ni hasara

Ova
 
Back
Top Bottom