Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Kule moshi kuna lami zinakwenda sanya juu,machame aisee barabara ni nyembamba ila bado ipo sana .Tofauti ya wanasiasa wa wa nchi hii..wapo tayari kujiibia..kwanini tusiwe na wabaguzi nchini kiasi hiki.Marehem aliyewahi msituni aliwa kusema lami yetu ikibanduliwa ikapelekwa kenya inaweza kufika hadi chooni. tanzania hatuna lami tuna kokoto iliyopakwa mafuta machafu