Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,486
Wakuu,
Wagosi wa kaya wamo vibarazani huku jiji lao limetelekezwa kurejeshewa hadhi yake ya zamani. Reli waliboreshewa na hayati JPM mpaka stesheni ilikarabatiwa ikabaki kidogo treni ianze safari kwenda huko lakini mipango ikaenda hali jojo hadi leo.
Swali kwa serikali, kwanini jiji hilo pendwa lenye watu wenye ukarimu, amani na upendo kwa wageni pamoja na rasilimali zake za utalii, kilimo, viwanda nk mmetelekeza kuwekeza na kuhimiza wawekezaji wengine walinawirishe kwa maendeleo ya taifa na watu wake?
Wagosi wa kaya wamo vibarazani huku jiji lao limetelekezwa kurejeshewa hadhi yake ya zamani. Reli waliboreshewa na hayati JPM mpaka stesheni ilikarabatiwa ikabaki kidogo treni ianze safari kwenda huko lakini mipango ikaenda hali jojo hadi leo.
Swali kwa serikali, kwanini jiji hilo pendwa lenye watu wenye ukarimu, amani na upendo kwa wageni pamoja na rasilimali zake za utalii, kilimo, viwanda nk mmetelekeza kuwekeza na kuhimiza wawekezaji wengine walinawirishe kwa maendeleo ya taifa na watu wake?