Uchumi wa Dar es Salaam unatokana mainly na bandari, na ili bandari iweze kufanya kazi inategemea " Import/Export" Hivyo basi kama miondombinu ya bara " Hinterland" haifanyi kazi na bandari haitafanya kazi itakuwa kisiwa. Hivyo basi Dar inategemea bara zaidi kuliko bara inavyotegea Dar!, Mfano kanda ya ziwa ina uchaguzi-Mombasa!Tanga ! Dar ! Kismayu!
Watu wa Dar acheni kubweteka eti uchumi wenu?. Malawi, Zambia, Eastern DRC wanaweza kwenda Mozambique na South Africa hata Mtwara. Dar mna nini? Morogoro, Dodoma , Singida na Makao ya serikali ?. Eti mchango wa Uchumi wenu. Amkeni kwenye usingizi. Nitajiua mie.
Watu wa Dar acheni kubweteka eti uchumi wenu?. Malawi, Zambia, Eastern DRC wanaweza kwenda Mozambique na South Africa hata Mtwara. Dar mna nini? Morogoro, Dodoma , Singida na Makao ya serikali ?. Eti mchango wa Uchumi wenu. Amkeni kwenye usingizi. Nitajiua mie.