billioni nne haiwezekani labda bilion mia nne
yaani umeanza bila kusubiri budget au kwakuwa walisha mtafuta mfadhili? basi kila Mkoa uruhusiwe kwenda kutafuta wafadhili wenyewe na tusifuate national prioritiesNa upanuzi umeanza rasmi
yaani umeanza bila kusubiri budget au kwakuwa walisha mtafuta mfadhili? basi kila Mkoa uruhusiwe kwenda kutafuta wafadhili wenyewe na tusifuate national priorities
Mkuu hili ndo ninalo liona na ninalo liogopa!
Ule umoja udugu na mshikamano taratibu vinajengewa mazingira ya kupotea! Hata kama mtu huoni wivu jamani? kwanini hapo tu ndo maji, barabara nne? wakati uzarishaji sifuri? kwanini watu wa Kigoma wanaachwa mataani ili hali kuna ardhi nzuri vyakula vya kumwaga? Kwanini si Tabora na kwingineko? Siwaelewi jamani bora tujitenge tu kila watu wakazane kivyao vyao kuliko dhahabu za mwanza, sangara mawese ya Kigoma, viishie kufaidisha wengine ili hali wasukuma na waha wanatembelea ndala zilizo isha visigino.. vumbi mpaka uvunguni! grrrrrrrrrrrrrrrrr