Hatuna la kumjibu, bajeti imeshapitishwa tena kwa kishindo. Serikali ijayo 2010 bado itakuwa ni hii hii ama sawa na hii. Kwanza fikiria hili, 'Mkuu wa Kaya anatoka kando kando ya barabara hii, Katibu wa CCM Taifa naye wa huko huko, Ben kajenga Lushoto huko huko, Kawambwa kama mkuu wa kaya, Kigoda Handeni(Kamati ya uchumi na fedha), karibu Wenyeviti wote wa vyama vya upinzani, barabara ni hii, Anne Kilango, Aloyce Kimaro, Ole Sendeka, Lowasa'.... NATANIA TUUU!!! Ila nikipata nafasi nitamwambia Spika.