Barabara mpya ya Morogoro (STRABAG) inavunjwa

Barabara mpya ya Morogoro (STRABAG) inavunjwa

Mkuu barabara zote zinazojengwa mkandarasi uwa anapewa defect liability time Kwa ajili ya kufanya matengenezo na hela yake % kadhaa inakua retained na client ikitokea ndani ya kipindi hicho barabara inezingua contractor anatakiwa aifanyie repair ndio kinachoendelea morogoro road nw , ata mark post zile zilizoharibika zitarekekebishwa so relax Mkuu mambo ya kihandisi hayo everything gonna be okay soon😎😎
 
Hivi nani alisimamia vile...! Siyo mnyampara kweli...
 
.

My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri?

siku ccm itakapotoka madarakani......jambo ambalo kwa sasa ni ndoto kwani watz wote ni waovu according to Albert Einstein
attachment.php
 

Attachments

  • Einstein.jpg
    Einstein.jpg
    93.8 KB · Views: 2,020
Wakuu,

Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.

Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.

My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?

Ukitaka na maelezo kidogo kuhusu kwann wana repair pale ni kwamba ule upande unaona wanatengeneza ni ambao una flexible pavement ambayo iko designed Kwa ajili ya kusustain short lived live loads ila pale mafoleni yana sababisha long lived live loads ndo maana barabara inazingua ila upande wa mwendokasi kupo poa Kwa sababu ile ni rigid pavement iko designed kusustain static loads Kwa muda mrefu
 
Mapadrock huyoooo...! Anatumia nguvu na mihemko badala ya mkakati...! Watanzania wamekong'otwaaaa....
 
Ukitaka na maelezo kidogo kuhusu kwann wana repair pale ni kwamba ule upande unaona wanatengeneza ni ambao una flexible pavement ambayo iko designed Kwa ajili ya kusustain short lived live loads ila pale mafoleni yana sababisha long lived live loads ndo maana barabara inazingua ila upande wa mwendokasi kupo poa Kwa sababu ile ni rigid pavement iko designed kusustain static loads Kwa muda mrefu
ina maana na elimu yao yooote walishindwa kuyaona haya kabla?wakitumia fact hiyo kujitetea tutawadharau zaidi
 
Hili libarabara limetutesaaa mweeeh! nikikumbuka yale mafoleni wakati inatengenezwa, kero na shida za kufungiwa njia hakuna u turn, tulivumilia tukijua baadae tutafurahia barabara. Matokeo yake ujinga jinga tuuuuuu, imejengwa chini ya kiwango, nyembamba kama njia za mbugani, hovyooooo kabisaaaaaaaaaaaaa, hovyoooooooooo
 
Mkuu tumekopeshwa, nani akupe pesa ya bure?

Tukopeshwe afu tupewe na masharti ya kuitumia? Inavyovunjwa nani anajenga tena ? Ni hao world bank ama ni sisi kwa hela zile zile za mkopo toka kwao
 
Ukitaka na maelezo kidogo kuhusu kwann wana repair pale ni kwamba ule upande unaona wanatengeneza ni ambao una flexible pavement ambayo iko designed Kwa ajili ya kusustain short lived live loads ila pale mafoleni yana sababisha long lived live loads ndo maana barabara inazingua ila upande wa mwendokasi kupo poa Kwa sababu ile ni rigid pavement iko designed kusustain static loads Kwa muda mrefu

But lakini chonga utanigambirajeee....?Hivi Zaidi ya kiswanglish wahandisi hamna lugha nyingine?Mimi nimekuelewa hofu kwa wezangu
 
Tukopeshwe afu tupewe na masharti ya kuitumia? Inavyovunjwa nani anajenga tena ? Ni hao world bank ama ni sisi kwa hela zile zile za mkopo toka kwao

Mbona ukienda kukopa Benki mkopo wa Biashara wanaifuatilia biashara yako. Lengo ni kuhakikisha kuwa mkopo unautumia kwa malengo yaliyokusudiwa.

Sasa haiwezekani Benki ya Dunia watoe pesa kisha wewe upeleke kwa matumizi mengine au kugharamia Uchaguzi mkuu!!!!!!

Ni lazima wafuatilie ili isiwe barabara kama haina vigezo ina maana kabla hujalipa deni tayari imeharibika!!!!! Utashindwa kulipa deni kwani utatafuta nyingine ili ukarabati tena!!!!
 
Hili libarabara limetutesaaa mweeeh! nikikumbuka yale mafoleni wakati inatengenezwa, kero na shida za kufungiwa njia hakuna u turn, tulivumilia tukijua baadae tutafurahia barabara. Matokeo yake ujinga jinga tuuuuuu, imejengwa chini ya kiwango, nyembamba kama njia za mbugani, hovyooooo kabisaaaaaaaaaaaaa, hovyoooooooooo

Nakumbuka nilikuwa nafika nyumbani kibamba saa nane usiku. one day pinda naye aliisoma namba
 
Tukiongea tunaonekana wabaya, kwa hiyo hizo hela zilizoenda si hasara jamani

Kwani ilikuwa imeshakabidhiwa kwa serikali? Kama ipo chini ya kiwango gharama ni za mkandarasi na si serikali au benki ya dunia. Kumbuka hata barabara ya Kilwa ilirudiwa hivyo hivyo kwa gharama za mkandarasi.
 
Back
Top Bottom