Aliyekudanganya nani kwa gharama za mkandarasiKwani ilikuwa imeshakabidhiwa kwa serikali? Kama ipo chini ya kiwango gharama ni za mkandarasi na si serikali au benki ya dunia. Kumbuka hata barabara ya Kilwa ilirudiwa hivyo hivyo kwa gharama za mkandarasi.
Nakumbuka nilikuwa nafika nyumbani kibamba saa nane usiku. one day pinda naye aliisoma namba
Nyumbu wa lumumba nadhani bado hawajaamka.Hili libarabara limetutesaaa mweeeh! nikikumbuka yale mafoleni wakati inatengenezwa, kero na shida za kufungiwa njia hakuna u turn, tulivumilia tukijua baadae tutafurahia barabara. Matokeo yake ujinga jinga tuuuuuu, imejengwa chini ya kiwango, nyembamba kama njia za mbugani, hovyooooo kabisaaaaaaaaaaaaa, hovyoooooooooo
Aliewaroga watz keshakufaHii si ilikuwa inasimamiwa na waziri yule tunamwita Jembe, Tingatinga na majina mengine kibao? Imekuwaje tena?
Wakuu,
Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.
Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.
My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?
Kwa hiyo uzembe wa mkandarasi unalipiwa gharama na mwajiri wake? Kama ni gharama za mwajiri ambaye ni serikali au benki ya dunia je unataka kumaanisha inabomolewa ili ijengwe kwa requirements mpya ambazo mkandarasi hakuwa nazo mwanzo? Kama si requirements mpya kwa ijengwe tena kwa gharama za serikali wakati haijakabidhiwa?Aliyekudanganya nani kwa gharama za mkandarasi
Wakuu,
Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.
Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.
My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?
kwani nani kakwambia sio mkopo?Wangetukopesha wasingetuamuru tuvunje
Hawa starbag wamejenga barabara nzuri sana kwenda iringa huenda hao dar siyo wenyewe ni feki