Barabara mpya ya Morogoro (STRABAG) inavunjwa

Barabara mpya ya Morogoro (STRABAG) inavunjwa

Kwani ilikuwa imeshakabidhiwa kwa serikali? Kama ipo chini ya kiwango gharama ni za mkandarasi na si serikali au benki ya dunia. Kumbuka hata barabara ya Kilwa ilirudiwa hivyo hivyo kwa gharama za mkandarasi.
Aliyekudanganya nani kwa gharama za mkandarasi
 
Hii si ilikuwa inasimamiwa na waziri yule tunamwita Jembe, Tingatinga na majina mengine kibao? Imekuwaje tena?
 
Hiyo ndiyo sura halisi ya magufuli!. Viwango chini, hasira juu, kukurupuka kwa sana, uongozi zero.
 
Nakumbuka nilikuwa nafika nyumbani kibamba saa nane usiku. one day pinda naye aliisoma namba

Acha tu, kuna siku nimetoka ubungo naenda mabibo, kufika big brother njia ya mabibo imefungwa... nilitafuta u turn hadi magomeni.... wametutesaaaa weeeee sasa wanaanza tena! natamani niwaroge wafweee kabisa
 
Kwani ujenzi wa barabara hii si alisimamia Mh.Maroad? ina maana amekubali wavunje yaani kazi ilikuwa mbovu na hajagundua before?Hajafukuza wakandarasi?Hapo itabidi ile nafasi yake ampe mtu makini zaidi yake,Anyway Mr.Burdozza rekebisha makosa uifikishe mbali Nyumba hii iliyoshuka thamani sasa.
 
Hawa starbag wamejenga barabara nzuri sana kwenda iringa huenda hao dar siyo wenyewe ni feki
 
teh,teh,teh aliyeturoga alishakufa ccm ni ileile.
 
Hili libarabara limetutesaaa mweeeh! nikikumbuka yale mafoleni wakati inatengenezwa, kero na shida za kufungiwa njia hakuna u turn, tulivumilia tukijua baadae tutafurahia barabara. Matokeo yake ujinga jinga tuuuuuu, imejengwa chini ya kiwango, nyembamba kama njia za mbugani, hovyooooo kabisaaaaaaaaaaaaa, hovyoooooooooo
Nyumbu wa lumumba nadhani bado hawajaamka.
 
Wakuu,

Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.

Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.

My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?

weka picha..maana wanaoishi Kimara Mwisho, wanasema hakuna barabara inayovunjwa! Sijui wewe umeona wapi hilo zoezi likiendelea...
 
Aliyekudanganya nani kwa gharama za mkandarasi
Kwa hiyo uzembe wa mkandarasi unalipiwa gharama na mwajiri wake? Kama ni gharama za mwajiri ambaye ni serikali au benki ya dunia je unataka kumaanisha inabomolewa ili ijengwe kwa requirements mpya ambazo mkandarasi hakuwa nazo mwanzo? Kama si requirements mpya kwa ijengwe tena kwa gharama za serikali wakati haijakabidhiwa?
 
Wakuu,

Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.

Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.

My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?

Ndugu Tunaomba Picha
 
Msimamizi mkuu ndio man of the house. Sasa itakuwaje? Kashindwa kubeba kilo 20 wampakiza 100!!! TZ tunatwanga maji bado
 
Siijui nani alitoa wazo la kujengwa BRT Dsm. Sina hakika kama anaijua dsm vzur. Ametuletea kero zaidi.
 
Hawa starbag wamejenga barabara nzuri sana kwenda iringa huenda hao dar siyo wenyewe ni feki

Dar hakuna madini wanaishia kuiba mafuta na sumenti. Nenda kaangalie road ya Segera/Kilimanjaro walivyoitendea haki.
 
Wacha waisome namba eeeeeeeeeeh ccm mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom