Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Watu c walikuwa wanasema pato la taifa lilikuwa likitumika xn kwenye ujenzi wa miundo mbinu? Kumbe ule ulikuwa ni msaada wa bank ya dunia?
Pole sana kumbe haujui kwamba budget ya Tanzania inaendeshwa na benki ya dunia pamoja na IMF?
Fedha hizo ndizo inafadhili miradi unayoona CCM tunasimama na kujinasibu katika majukwaa...