Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Wale ni aarsleef-interbeton jv wala sio Strabag na ndio wanaofanya extension ya terminal 3 airport
Sidhani... Terminal 3 ni BAK au kitu km hicho. Ya Uholanzi
Wale ni aarsleef-interbeton jv wala sio Strabag na ndio wanaofanya extension ya terminal 3 airport
Siijui nani alitoa wazo la kujengwa BRT Dsm. Sina hakika kama anaijua dsm vzur. Ametuletea kero zaidi.
Hivi wametufadhili au wanetukopesha?!
Tatizo bongo kila aina ya magari yanapita barabara hizohizo yawe ya mizigo tena inamizigo iliyozidi kina nayo yanazama tu humohumo unategemea nn? Hii ndio shida kubwa
Mkuu umechemsha. Kisumu na mombasa hakuna barabara yenye hadhi ya jiji.Wakuu,
Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.
Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.
My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?
Duh... hii sasa kali... watu watakuwa wamepiga hapo...... imenikumbusha uwanja wa taifa...watanzania waliopiga wapo hai wanadunda mitaani wakati mchina waliyeshirikiana naye inasemekana kanyongwa huko kwao...hii ndiyo TZ zaidi ya tuijuavyoWakuu,
Kwa wale ambao tumepita Morogoro road kwa siku mbili hizi tumeshuhudia barabara mpya ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Kimara inavunjwa hali inayosababisha foleni kubwa sana.
Duru zinasema Benk ya Dunia ambao walitoa pesa za kufadhili mradi huo hawakuridhika na kiwango cha barabara hiyo ukilinganisha na pesa iliyotolewa.
My take: Ni lini Dar es salaam itakuwa na barabara nzuri angalau za kufikia kiwango cha majiji kama ya Nairobi, Mombasa na Kisumu?
Hivi wametufadhili au wanetukopesha?!