Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,925
- 831,358
siyo wewe tu,hata mie huku!Hongera sana Mshana jr, hongera zake mama yako aliyekuzaa kweli alikulea katika maadili mema, yaani huwa unanifurahisha sana huna hasira wala huna muda wa kujibizana na mtu! I wish ningepewa roho kama yako. Hongera sana once again
mkuu,ni nini tofauti kati ya kipaji na kipawa?
dah,mkuu umenena maneno kuntu!Watu hawawezi kupiga mawe kwenye mchongoma(mti wa miiba)
Mawe hurushwa kwenye mti
wenye matunda ili yadondoke, na ndipo mrusha mawe anapofaidi!
Kwa hiyo kujadiliana nao ni kuwapa faida waache wabwate Lowassa! Lowassa! Lowassa!
Wanamshangilia bila kujijua
Kweli! Hapo umeniweza sawa, na nimekuelewa.
kula gwala,mkuu!Tukiacha unafiki kuna kitu cha kujifunza hapa kama binadamu na hasa tukiwa ni watanzania, kwa pande zote mbili, kwa mh Rais na kwa upande wa EL . Kukubali na kutambua maamuzi ya wengi, lakini pia si kila nafasi unayoipta kusimama kugongea unaitumia kumtukana na kumshambulia mtu, kwa ajili ya ku m furaha asha mtu au kikundi cha watu walioko nyuma au mbele yako.
Sasa tumuige Seif au Lowassa?View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
ahahaha,mara kwa pengo,mara kwa Magu,mara kwenye meza yake!JK ALIKUWA ANACHEZA DRAFT MULE NDANI!MARA KAENDA HUKU MARA KARUDI KULE....MWENDO WA KUHAMAHAMA TU!
OVA
Lowasa ni Jemedari wa Siasa za Bongo!Tunzo ya Amani aliyopewa Lowassa siyo Kama zawadi za kuchongwa,Lowassa ni mtu wa amani kwelikweli ni bwana wa amani duniani,pamoja na CCM kuzunguka nchi nzima wakimtukana Lowassa kuwa ni ********,Lofa,alijinyea stand ya Chato,Lowassa hakuinua hata chembe ya ulimi wake kumtukana mtu,mwisho wameishia kumuita Lowassa ni muungwana.
mkuu,ilo tamko la pongezi la c.c.m kwa Lowasa juu Uungwana wake,imo umu jf?Hekima ni kipawa...! Si kila mmoja wetu anaweza kubarikiwa hicho kipawa
Za Kuambiwa...Sasa tumuige Seif au Lowassa?
Uongo hupanda lifti bali ukweli hukwea ngazi...ngoja tuone wakati ni hakimu mzuriLowasa hajawi na hatokuwa mpinzani, amelelewa na ccm, kwa mfumo huohuo,
Alikuja chadema ili apate urais, hakuwa na mapenzi na upinzani, Sasa kilichomleta kime expire, ndo maana anaanza safari ya kurudi kwao ccm, kwa watu walewale ombapo ana maslahi
Tena inaripotiwa hivi: "Lowassa uso kwa uso na Magufuli" na wala siyo "Magufuli uso kwa uso na Lowassa"...yaani kifupi Lowassa ndo habari ya mujini...wampe tu chenji yake aisee vinginevyo watatawala kwa mauzauza!View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
mkuu,hiyo press release ya Sendeka imo humu jf?Hivi ujinga nao hauwezi kuwa kipawa? Maana kama mtu unaita waandishi wa habari na kumtangaza mtu kuwa ni muungwana halafu hutaki kuiga uungwana wake huo si ni "ujinga"?
Namzungumzia Sendeka, jee sio kuwa atakuwa na hicho kipawa?
Anzisha uzi tuje tuchangie!ila kumbuka hata tukija uko hoja itakuwa Lowasa atatajwa tu!Wapiga makofi na washangiliaji wa EL na Mbowe utawajua tu. Hoja ya Maalim imewekwa kapuni.
No News is Worthwhile Without Mentioning Lowasa in It!Tena inaripotiwa hivi: "Lowassa uso kwa uso na Magufuli" na wala siyo "Magufuli uso kwa uso na Lowassa"...yaani kifupi Lowassa ndo habari ya mujini...wampe tu chenji yake aisee vinginevyo watatawala kwa mauzauza!
View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono