Mbona hajatumbuliwa kanisani??????????????????? Nani mwenye kushika mpini na nani kashika pakukatia????????We nawe ni Mbulula tu,Fisadi wako kaenda kujipendekeza kwa wakubwa wake samaki ana nguvu akiwa majini lakini ukimtoa hana ujanja,nguvu ya Lowasa ilikua ndani ya CCM kwa sasa yupo kwenye foleni tu ya akina Mrema
Yeah he truly is, you never know his next move, even going back to ccmLOWASA NI TRUE MASTER....!
OVA
Lowasa hajawi na hatokuwa mpinzani, amelelewa na ccm, kwa mfumo huohuo,Kwakweli bado
Mhu bado siku sita tu.
Kama kweli CCM ina ubavu, imuite LOWASSA kwenye hii mahakama mfu ya ufisadi ambayo kila kukicha wanashadidia.
Nakuhakikishia hakuna jiwe litasalia juu ya jingine, utashangaa Raisi amejishika mwenyewe
wew jamaa tangu asubuhi nilikuwa sjacheka
Unajua kuna tofauti kubwa kati ya kuongea na kumaanisha! Wewe unaongea lakini humaanishi kile unachoongea na hata ukiambiwa kitolee tafsiri nina hakika utashindwani mwendelezo wa kaulimbiu ulipo tupo komaa nae tu mwenyekiti wenu mpaka sasa yuko kimya ile gia aliobadilishia angani uku hana Mafuta ya kutosha inaanza kumcost
View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
U͢s͢i͢p͢a͢n͢i͢k͢ m͢c͢h͢e͢z͢o͢ h͢u͢u͢ h͢a͢u͢i͢t͢a͢j͢i͢ h͢a͢s͢i͢ra͢!We nawe ni Mbulula tu,Fisadi wako kaenda kujipendekeza kwa wakubwa wake samaki ana nguvu akiwa majini lakini ukimtoa hana ujanja,nguvu ya Lowasa ilikua ndani ya CCM kwa sasa yupo kwenye foleni tu ya akina Mrema
Hahaha....mabosi wenu walizunguka nchi nzima kwa zaidi ya miaka 8 wakisema Lowasa Fisadi,baada ya kumtukana na kuiponda CCM kwa muda wote huo iliamua kumtosa kwenu....sasa hivi joka liko ndani ya chama chenu....wote kimyaaa...mmeufyata mkia,mmebaki kusifia na kusafisha tu.Anyway,babu yenu hatauona urais tena ataishia kukaribishwa kwenye party za mabosi wake na kujipendekeza pendekeza tu kwa wakubwa.Kumbe ni msafi tayari! Sasa ile mahakamani si mliwaaminsha watu wenu kwamba inafunguliwa kwa ajili yake. Itakuwaje sasa?
Huo ndio utu uzima kuonyesha namna gani umekomaa kiakili majibu yaliyojaaa busara kama EL hongera kakaHaya asante kwa ushauri lakini ukiweza weka hakiba ya maneno
Fikra za kitwana hizi. watu wanaochaguliwa kwa kupigiwa kura hawawi mabosi wa wale wanaowachagua!! Yaani unadhani muuza nyanya wa Soko Matola mbeya "mkubwa" wake ni hawa wapigiwa saluti? Au hujui ni kwa nini wanaitwa watumishi wa umma?mabosi wenu ... kukaribishwa kwenye party za mabosi wake na kujipendekeza pendekeza tu kwa wakubwa.
Hivi ujinga nao hauwezi kuwa kipawa? Maana kama mtu unaita waandishi wa habari na kumtangaza mtu kuwa ni muungwana halafu hutaki kuiga uungwana wake huo si ni "ujinga"?Hekima ni kipawa...! Si kila mmoja wetu anaweza kubarikiwa hicho kipawa
Lowasa the Don!Asante kwa kuja nadhani hii tune ya ufisadi wake ifanyieni kolabo sasa manake naona mnaishia kuponda huku mitandaoni nyuma ya ID bandia bila ithibati yoyote