Bao la kisigino

Bao la kisigino

View attachment 389673

Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!

Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.

Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.

Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Mkuu naomba unifafanulie na hiyo picha uliyo ambatanisha kwenye maelezo yako, nimejaribu kuitafsiri kulingana na maelezo yako nimeshindwa.
 
View attachment 389673

Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!

Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.

Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.

Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Mshana hadi leo hajajua kuwa Lowasa siyo mpinzani!
 
Mkuu naomba unifafanulie na hiyo picha uliyo ambatanisha kwenye maelezo yako, nimejaribu kuitafsiri kulingana na maelezo yako nimeshindwa.
Ni ya kifasihi zaidi ! Hicho cha duara ni kito na ukikiweka juani kitakuonyesha maumbo mbalimbali! Hapo kinaonyesha watu wenye nyuso za furaha na kushangilia...nadhani umenisoma
 
Tunzo ya Amani aliyopewa Lowassa siyo Kama zawadi za kuchongwa,Lowassa ni mtu wa amani kwelikweli ni bwana wa amani duniani,pamoja na CCM kuzunguka nchi nzima wakimtukana Lowassa kuwa ni mpumbavu,Lofa,alijinyea stand ya Chato,Lowassa hakuinua hata chembe ya ulimi wake kumtukana mtu,mwisho wameishia kumuita Lowassa ni muungwana.
 
Tunzo ya Amani aliyopewa Lowassa siyo Kama zawadi za kuchongwa,Lowassa ni mtu wa amani kwelikweli ni bwana wa amani duniani,pamoja na CCM kuzunguka nchi nzima wakimtukana Lowassa kuwa ni ********,Lofa,alijinyea stand ya Chato,Lowassa hakuinua hata chembe ya ulimi wake kumtukana mtu,mwisho wameishia kumuita Lowassa ni muungwana.
Hekima ni kipawa...! Si kila mmoja wetu anaweza kubarikiwa hicho kipawa
 
Watu wapo kwa ajili ya kushangilia kila linalosemwa au kutendwa na Lowasa au Mbowe. Ndiyo maana watu wanafikia hatua ya kedeki barabara ili bwana wao apite.
 
Asante kwa kuja nadhani hii tune ya ufisadi wake ifanyieni kolabo sasa manake naona mnaishia kuponda huku mitandaoni nyuma ya ID bandia bila ithibati yoyote
Hakuna chochote, Lisu,Mnyika, Lema na Msigwa walimuita hivyo bila ID bandia
 
View attachment 389673

Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!

Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.

Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.

Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Hahaaa, angalau umewatoa wasiwasi makamanda wenzio, ambao wanaona Rich monduli amewasaliti.
 
Back
Top Bottom