mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,056
- 132,485
JK ALIKUWA ANACHEZA DRAFT MULE NDANI!MARA KAENDA HUKU MARA KARUDI KULE....MWENDO WA KUHAMAHAMA TU!
OVA
JK ALIKUWA ANACHEZA DRAFT MULE NDANI!MARA KAENDA HUKU MARA KARUDI KULE....MWENDO WA KUHAMAHAMA TU!
Sasa kwa nini asiruhusiwe kufanya mikutano ili "asafishike" vizuri zaidi?
Mkuu naomba unifafanulie na hiyo picha uliyo ambatanisha kwenye maelezo yako, nimejaribu kuitafsiri kulingana na maelezo yako nimeshindwa.View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Kumbe ni wivu unaokusukuma kuandika hayo dhidi yake?,Andika wewe kama unadhani ni rahisi...mbona unaishia Ku comment tu!?Wewe huna chochote ukijuacho unafaa kuandika zile makala zako za uchawi ila kwenye siasa yaani kila siku unajiaibisha tu Magufuli kawatia wazimu
Kumbe ni msafi tayari! Sasa ile mahakamani si mliwaaminsha watu wenu kwamba inafunguliwa kwa ajili yake. Itakuwaje sasa?Asafishike mara ngapi?
Mshana hadi leo hajajua kuwa Lowasa siyo mpinzani!View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Ni ya kifasihi zaidi ! Hicho cha duara ni kito na ukikiweka juani kitakuonyesha maumbo mbalimbali! Hapo kinaonyesha watu wenye nyuso za furaha na kushangilia...nadhani umenisomaMkuu naomba unifafanulie na hiyo picha uliyo ambatanisha kwenye maelezo yako, nimejaribu kuitafsiri kulingana na maelezo yako nimeshindwa.
Kumbe ni msafi tayari! Sasa ile mahakamani si mliwaaminsha watu wenu kwamba inafunguliwa kwa ajili yake. Itakuwaje sasa?
Hekima ni kipawa...! Si kila mmoja wetu anaweza kubarikiwa hicho kipawaTunzo ya Amani aliyopewa Lowassa siyo Kama zawadi za kuchongwa,Lowassa ni mtu wa amani kwelikweli ni bwana wa amani duniani,pamoja na CCM kuzunguka nchi nzima wakimtukana Lowassa kuwa ni ********,Lofa,alijinyea stand ya Chato,Lowassa hakuinua hata chembe ya ulimi wake kumtukana mtu,mwisho wameishia kumuita Lowassa ni muungwana.
Hakuna chochote, Lisu,Mnyika, Lema na Msigwa walimuita hivyo bila ID bandiaAsante kwa kuja nadhani hii tune ya ufisadi wake ifanyieni kolabo sasa manake naona mnaishia kuponda huku mitandaoni nyuma ya ID bandia bila ithibati yoyote
Hahaaa, angalau umewatoa wasiwasi makamanda wenzio, ambao wanaona Rich monduli amewasaliti.View attachment 389673
Ni aina ya bao kwenye soka ambalo hakuna anayetegea kama litafungwa, huja kiaina yake kimtindo na bila kipa kujiandaa au wale walinzi. Mpira hutikisa nyavu na hadhira kulipuka kwa shangwe na kelele za goooooo....!!!!
Hiki ndio kilichotokea wiki iliyopita Pale EL alipokutana uso kwa uso na Magufuli. Wengi hawakutarajia kile alichokifanya Lowassa, kwa tabasamu toka rohoni alimsabahi Magufuli bila chembe ya kinyongo! Katu Magufuli hakulitegemea hili na yeye bila kuficha hisia zake za ndani kabisa akakiita kitendo kile kama ni muujiza.
Ilikuwa ni 'brief moment' iliyoleta impact kubwa sana kisiasa hasa kwa upande wa Lowassa! Kwa kasi ya ajabu ikawa ni mjadala kila mahali lakini kote huko kete ikimwangukia Lowassa. Hamasa ya kumpongeza EL kwa kuonyesha uuungwana mkubwa kiasi kile umeikumba CCM hata kufikia nacho kutoa tamko rasmi la kumpongeza.
Kisiasa hili ni bao la kisigino na si la mkono
Wewe huna chochote ukijuacho unafaa kuandika zile makala zako za uchawi ila kwenye siasa yaani kila siku unajiaibisha tu Magufuli kawatia wazimu