sio kila kitu kiwe na masilahi ya moja kwa moja kama unavyofikri-kwenye maisha kuna fursa ya ku-joke na kufurahi na hivyo vina tufanya kuwa pamoja kitaifa na kusahau tofauti zetu-sasa wewe na vi-defination vyako ulivyomeza unajiona una mambo ya maana kwa Taifa hili
We msichana taratibu........... Unamwona huyu ndugu yake hapa chini? Maishara haya hawachelewi kuchukulia siriaz..........Mi kukaa na Bigirita lupango, naogopa kufanya mauaji....
We msichana taratibu........... Unamwona huyu ndugu yake hapa chini? Maishara haya hawachelewi kuchukulia siriaz..........Mi kukaa na Bigirita lupango, naogopa kufanya mauaji....