Bank ABCHabarini wakuu mbali mbali
Naombeni mnijuze benki nzuri inayotoa card debitcard/Master or Visa kwa ajili ya Online perchasing
BacklaysHabarini wakuu mbali mbali
Naombeni mnijuze benki nzuri inayotoa card debitcard/Master or Visa kwa ajili ya Online perchasing
Kibubu bank.Mi naitajii kujua bank ambayo ukiweka pesa zako haikatwii kwa mwezii
Haipo mkuu wote wanakataMi naitajii kujua bank ambayo ukiweka pesa zako haikatwii kwa mwezii
Sidhani kama ipo. Bila makato wataishije?Mi naitajii kujua bank ambayo ukiweka pesa zako haikatwii kwa mwezii
Hivi equity ndio ya wakenya?wote mmeongea ila hakuna kama equity nawapenda mnoo equity hawana makato hata mia, pili hawalimit manunuzi, kadi yake ni elfu kumi tu inakua active kufanya manunuzi, nawapenda mnoo
Taratibu zao kupata mastercard zipojewote mmeongea ila hakuna kama equity nawapenda mnoo equity hawana makato hata mia, pili hawalimit manunuzi, kadi yake ni elfu kumi tu inakua active kufanya manunuzi, nawapenda mnoo
EquityMi naitajii kujua bank ambayo ukiweka pesa zako haikatwii kwa mwezii
FNB Bank - Kwa hii account: USD call AccountSidhani kama ipo. Bila makato wataishije?
Kafungua NMB chapchap accountMi naitajii kujua bank ambayo ukiweka pesa zako haikatwii kwa mwezii
Haikatwii makatoo kwa mwezii,Kafungua NMB chapchap account
Haina makato na nisimpo kufungua ndani ya dk 5 Acc yako inakua tayari na kadi unapewa hapo hapoHaikatwii makatoo kwa mwezii,
Dah mwalimu ubarikiwe kwa kutujuza hili, maana nilikuwa natafuta akaunti ya namna hii kwa ajili ya my kids, je ni kweli kwamba haina makato kabsaaa?FNB Bank - Kwa hii account: USD call Account
- Mfano: umeweka USD 200 kwenye account yako, Baada ya mwaka ukienda kutoa unapewa yote hiyo dola 200 uliyoweka.
- Hivyo kwa wale wanao hitaji kuhifadhi pesa na kuipata kama ilivyo napendekeza hii USD call Account,
- Kama ujuavyo SHILLING inapolomoka kila kukicha, hivyo ni vyema kuhifadhi fedha yako katika mfumo wa USD au GBP (kwa GBP au EUR fungua account katika BancABC)