JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,367
Kama watanzania wameenda kenya kutuwakilishaPasco umegonga bull, lile bango linamuhukumu kinyume cha sheria na haki za binadamu, she is INNOCENT until proven otherwise; tukubali tumekosea na Wakenya will not take kindly to this kind of actions; je tuendako watanganyika walioko Kenya watakuwa salama au tunawatengenezea mazingira gani haya?! Tukumbuke kiendacho hurudi; wahusika wachukue hatua stahiki.
kwa kuwaibia wakenya,basi wadhalilishwe kwa vitendo vyao
vya wizi ili warudi nyumbani wakutane na mkono wa sheria.
Siungi mkono mhalifu kwenda nchi za watu kufanya uhalifu
afu tuseme eti anaiwakilisha nchi.
Ni aibu ukienda nchi ya watu ukajikuta unaangaliwa
kwa jicho la tatu kisa waliokutangulia walifanya matendo ya aibu
na wewe unabebeshwa msalaba usiokuhusu.Ndo maana
maana hapo mwanzo nikasema unaweza kuta kitendo hiki kafanyiwa
na wakenya wenzake ili kuepuka kuhukumiwa kama kundi
na badala yake kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe.