Wakenya wote wezi, hata Donald Trump na Mugabe wanalijua hili
Pasco na Prishaz mmewahi kuibiwa nyie? Acha kabisa...!! Sitaki kabisa kumsikia mwizi.
Kimombo au vipi?Those who wrote the words should be dealt with.
Unafiki ni kitu kibaya sana... Naona watu mnatetea ujinga eti kadharilishwa kwa namna ipi labda?!!.. Mtu kaiba tena mlimani city sehemu ambayo kama umewahi kufika kwa miundombinu ya pale ilivyo mtu huwezi kupakaziwa umeiba... Ukiambiwa umeiba mlimani city wewe ni mwizi kweli huyo sio Wa kwanza madada wengi tu wamekuwa wakikamatwa na wengine hukiri pale pale kuwa waliiba kweli na kutoa mpaka bidhaa hapo hapo.... Acheni kutetea ujinga nendeni duka husika mkachukue video clip ya CCTV camera muone alivyoiba...
Suala lingine kuhusu bango.... Acheni unafiki jamani kwani huyo dada akitolea front page gazetin na kuandikiwa mwizi kutoka Kenya akamatwa m.city kungelikuwa na tofauti ipi na kushikishwa bango....
All in all kiafrika mwizi huna haki mikonon mwa waibiwa.. Huwezi kutuibia halafu utupangie tukufanye nini.
Tena tushukuru hajapgwa fire
Tupunguze mihemko jamani, hili ni suala la kijamii lenye kuhitaji tafakuri ya kina. Pasco is right. Vipi ikiwa huyu mtuhumiwa akapelekwa mahakamani na baadaye ikaja kugundulika ni mgonjwa wa akili? Mtaendelea kuhemka?Kwani wakenya walimtuma? Hakuna haja ya kututea wezi Kwa kisingizio cha diplomasia. Wabebeshe mabango hata mwezi mzima tuwafahamu iwe Mkenya, wamsoga au wa chato.
Shida ndio iko hapo...ni mwizi kweli?WE UNASEMA NN ATI? Kwan cha ajabu ni kipi? Huyo si mwizi kweli au kasingiziwa? Au we unatetea wezi?? Na si kweli anatokea Kenya au we ulitaka wezi wote watokee Tandale?
Acha atangazwe ili ajulikane mapema kabla hajaleta madhara zaid ya wizi, Watu wengi tumemjua kupitia hiyo picha, je wasingemtangaza then kesho akakuibia wewe, ungefurahi, au una kauhusiano nae hivyo imekugusa??...ngoja na mie niendelee kuituma kwenye magroup ya whatsapp wamjue vizuri ila wawe na tahadhari pindi wamwonapo...huku kwetu wezi wanachomwa moto kabsa..nini kutangazwa bana.. dada unakuwa mwivi kah, SHAME ON HER!!!
Kuadhibiwa aadhibiwe ndio lakini si kumbebesha bango linalowakilisha kwamba wakenya wote ni wazi.What if angekuwa mwizi kUtoka tanzania? Acheni watu walipie matendo yao. wewe hujawahi kuibiwa ukaona inavyouma? Huko polisi hata ukimpeleka mwizi hakuna la maana wanafanya. Acha waadhibiwe tu kikubwa wasiwaue
Tatizo hapa ni kuchochea chuki baina ya nchi na nchi,tunandugu zetu kule,je wakitendewa visivo juu ya hasira zao kwetu itakuawaje?Pasco na Prishaz mmewahi kuibiwa nyie? Acha kabisa...!! Sitaki kabisa kumsikia mwizi.
Kweli mkuu. Hapa Nairobi kuna vijana wa kitanzania wengi sana hukamatwa wameiba lakini hawabebeshwi mabango ya kudhalilisha nchi namna hii.Haikuwa haki kabisa! Wamefanya kinyume na utu! Wezi wangapi wanakamatwa hapa, hatujawahi kuona bango likisema , mm ni mwizi kutoka Moshi, Mwanza....!
Nalaani udhalilishaji
Hapo ndio nachoka na sheria eti mpk uchunguzi umalizike wakati nimemkuta anachukua sio chake kabisa na kukiri nimkamate nimpeleke mahakamani waje wengine wasiomuona alivyochukua na kukiri, wamtetee kua hajachukua wakati mie ndio nimemuona na nimemkamata...sheria upuuzi ndio maana wanauliwa tuu!!!Maelezo mareeeeefu ati ya kumtetea mwizi, kwa kua ni mwanamke, kwa kua ni mkenya au kwa kua unamjua?
Haki za binaadam my foot, wakati anaiba hakujua kua hatendi haki kwa binaadam wenzie??
Mwizi sio raia wa Tz, kwanini asitajwe utaifa wake??
Amekamatwa papo kwa hapo hlf useme sio mwizi mpk mahakama iseme kwa hiyo alikua anawahifadhia??
Acheni ujinga wenu bhana, msitake kuhalalisha haramu iwe halali, hilo haliwezekani na kamwe halitawezekana.
Kwahiyo mkuu mtu kuchomwa moto hadi kufa kwako lilikua jambo jema ila kubebeshwa bango na kuanishwa uhalisia wako ndio linaonekana kukukera kabisa!!!aiseeKweli mkuu. Hapa Nairobi kuna vijana wa kitanzania wengi sana hukamatwa wameiba lakini hawabebeshwi mabango ya kudhalilisha nchi namna hii.
Hata mwaka juzi kuna rafikiangu nilisoma nae alichomwa moto hadi kufa hapa Kenya kwa kuiba pikipiki. Lakini hatukuona akibebeshwa bango.
Alichomwa moto baada ya kushikwa na wananchi wenye hasira kali.Kwahiyo mkuu mtu kuchomwa moto hadi kufa kwako lilikua jambo jema ila kubebeshwa bango na kuanishwa uhalisia wako ndio linaonekana kukukera kabisa!!!aisee