Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,351
- 6,479
Bango moja la JK liko pale nyuma ya Ocean Road hospital au kama unaelekea NIMR au kwa Mkemia Mkuu wa serikali; lina picha ya JK na mwanamke ambaye inasemekana ni mama yake mzazi, halafu lina maandishi 'upendo wa mama, chagua ccm chagua JK'.
Sasa je, nimchague JK kwa sababu anapendwa au alipendwa sana na mama yake? Hili linaashiria kuwa Urais mwaka huu ni suala la kifamilia? Je, wamelenga watanzania wa aina gani wenye umri wa kupiga kura kwa bango hilo?
Sasa je, nimchague JK kwa sababu anapendwa au alipendwa sana na mama yake? Hili linaashiria kuwa Urais mwaka huu ni suala la kifamilia? Je, wamelenga watanzania wa aina gani wenye umri wa kupiga kura kwa bango hilo?