je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,882
- 3,620
Hiki kitu kimenitokea leo mchana, nimejiunga GB 1 tigo hao ila kama dk. 15 naambiwa nimetumia 75% ya data. Nikastuka, nikazima data.
Mara nikawasha tena kama baada ya dk. 10 hivi kuangalia sms za Whatsapp, mara heee naambiwa ushamaliza bundle lako. Nikashtushwa na huu umalizaji wa data. Nikaenda kwenye setting labda kuna vitu havipo sawa, ila nikaona hakuna shida.
Nikajiunga tena GB 1 nyingine lakini hali ikaendelea vile vile baada ya dk. kadhaa naambiwa ushatumia 75%. Nikaona hapa kuna kitu nafeli ngoja nipige simu Tigo.
100 customer care akaniambia tembelea duka letu la K/Koo na Makumbusho kwa msaada zaidi.
GB 2 zikakatika kisembe sana, nikaona sio kweli nikaenda Tigo shop jamaa kaikagua kasema app zina ji update zenyewe ndio maana bundle zilikuwa zinaenda sana. Ila mimi nilishaweka off isi download kupitia data labda wifi only.
Nikaona hamna jipya nikaondoka, ila lazima niwe hewani kutokana na business zangu ili nipate information kwa customers.
Nikajiunga GB ya 3 hii ndio nimechoka kabisa, maana simu ilikuwa haina chaji, nikaweka chaji na data off ila kuja kuiwasha nacheki sms za Whatsapp napata ujumbe huu, kula chuma hicho;
"Dear Customer, you don't have enough balance to access this service. Please top up your balance and dial *147*00# to buy packages. Enjoy Tigo services!"
Ikanibidi nipige simu tena Tigo na kujibiwa kama ifuatavyo;
"Simu yako unatumia 5G kwahiyo hivyo iko speed sana, kwa hiyo inakula MB mno kwasababu inapo download kwa sekunde moja tu inakupasa kutumia gb 1! Hapa ndio walinichosha, nikauliza tena kwa sekunde moja ndio ni GB 1?
Sikuamini, hadi sasa siamini na hata kama ni kweli basi pia sitoamini. Basi ndio hicho kilichonitokea ndugu zangu. hapa nina mpango wa kutumia bundle za voda nione, huenda labda kuna setting hazipo sawa.
Ndio hivyo ndugu zangu.
Mara nikawasha tena kama baada ya dk. 10 hivi kuangalia sms za Whatsapp, mara heee naambiwa ushamaliza bundle lako. Nikashtushwa na huu umalizaji wa data. Nikaenda kwenye setting labda kuna vitu havipo sawa, ila nikaona hakuna shida.
Nikajiunga tena GB 1 nyingine lakini hali ikaendelea vile vile baada ya dk. kadhaa naambiwa ushatumia 75%. Nikaona hapa kuna kitu nafeli ngoja nipige simu Tigo.
100 customer care akaniambia tembelea duka letu la K/Koo na Makumbusho kwa msaada zaidi.
GB 2 zikakatika kisembe sana, nikaona sio kweli nikaenda Tigo shop jamaa kaikagua kasema app zina ji update zenyewe ndio maana bundle zilikuwa zinaenda sana. Ila mimi nilishaweka off isi download kupitia data labda wifi only.
Nikaona hamna jipya nikaondoka, ila lazima niwe hewani kutokana na business zangu ili nipate information kwa customers.
Nikajiunga GB ya 3 hii ndio nimechoka kabisa, maana simu ilikuwa haina chaji, nikaweka chaji na data off ila kuja kuiwasha nacheki sms za Whatsapp napata ujumbe huu, kula chuma hicho;
"Dear Customer, you don't have enough balance to access this service. Please top up your balance and dial *147*00# to buy packages. Enjoy Tigo services!"
Ikanibidi nipige simu tena Tigo na kujibiwa kama ifuatavyo;
"Simu yako unatumia 5G kwahiyo hivyo iko speed sana, kwa hiyo inakula MB mno kwasababu inapo download kwa sekunde moja tu inakupasa kutumia gb 1! Hapa ndio walinichosha, nikauliza tena kwa sekunde moja ndio ni GB 1?
Sikuamini, hadi sasa siamini na hata kama ni kweli basi pia sitoamini. Basi ndio hicho kilichonitokea ndugu zangu. hapa nina mpango wa kutumia bundle za voda nione, huenda labda kuna setting hazipo sawa.
Ndio hivyo ndugu zangu.