HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
kuwa mpole mpaka taarifa ikamilike! Kwa ccm hakuna kinachoshindikanaHII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
It is true..hakuna meli inayotia nanga Dsm port na mizigo ya Tanzania pekee. mingine hushushiwa Nacala portu Mozambique, Durban au Port Elizabeth South Africa .labda meli yenyewe iwe ya sukari.HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
hapo ni katika kutafuta unafuu wa majukumu hasa yanayowabana wahusika wa upotevu wa makontena..😡Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).
TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.
Chanzo: Raia Tanzania
Sishangai nyumba zao na zile hotel zilikuwa zina jengewa huko China na kuletwa vipande vipande vya kuunganisha vikiwa tayari. Kwa ujenzi wa namna hiyo hata Meli 10 zingepotea bila shida. Nashauri Bandari ya Tanga ikafanyiwe ukaguzi wa kutosha tokea mwaka 2005. Tutasikia mengi sana..!!KWELI RIDHIWANI ANGEIMALIZA NCHI
Wajanja wataondoka na badali yote mtakuka beach tuSoon bandari nzima itaibiwa.
Hebu lete uthibitisho mkuu ili ueleweke vizuriHII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
Akili yangu inaanza kuamini kwamba kama ni kweli makontena zaidi ya 11,000 na magari 2,000 yalipitishwa bila kulipia tozo stahiki. Kumbe kameli kamoja ni kitu gani. Nchi inapozama katika lindi la rushwa na ufisadi kila jambo linawezekana. Namkumbuka Hayati Mwl Nyrere aliwahi kusema popote duniani serikali corrupt haikusanyi kodi, itabaki kukimbizana na akina mama nitilie barabrani lakini si wafanyabiashara wakubwa.Inawezekana vipi mizigo ya meli nzima "kupotea" kupitia mikono ya TPA?
Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
ukweli kwenye hii stori hii ni mdogo. Je meli hii ilifunga upande wa TPA au Ticts? Ina maaña mzigo ulikuwa wa Tanzania tu au na ule wa transit uliibiwa?....mhhh ukweli wa taarifa inatia shaka
Kwa mzigo toka znz inawezekana hasa pale kituo cha abiria ni jipu lingine kwani kuna wakati makarani wa pale hata risiti hawatoi kama una mzigo mnamalizana nao kabla ya kufika ofisini sijui TPA inapata nini pale!
...exactly....mambo yanayofanywa na serikali ya JPM sasa yanathibitisha kuwa srikali ya mkwere ilikuwa very corrupt....na ni kweli walikuwa wanafukuzana na kina mama ntilie na bodaboda huku meli zikipakuliwa nzima nzima bure bandarini...huu ni uthibitisho wa serikali hiyo kuwa very very corrupt...maana walikuwa hawakusanyi kodi inavyostahili....na pesa kidogo iliyokuwa inapatikana ndio hiyo ilikuwa inapondwa kwenye starehe za safari za nje kwa first class na masherehe ya kufuru na kulipana fadhila za ajabu ajabu...mimi nasema mwaka huu mengi tutasikia....maana JPM ndio ameanza kazi.....ndio maana sishangai kuwaona majamaa wanapiga hodi kila kukicha ikulu ya JPM....napata fikra kuwa zile si salamu za mwaka mpya tu....kuna mengi nyuma ya pazia......Akili yangu inaanza kuamini kwamba kama ni kweli makontena zaidi ya 11,000 na magari 2,000 yalipitishwa bila kulipia tozo stahiki. Kumbe kameli kamoja ni kitu gani. Nchi inapozama katika lindi la rushwa na ufisadi kila jambo linawezekana. Namkumbuka Hayati Mwl Nyrere aliwahi kusema popote duniani serikali corrupt haikusanyi kodi, itabaki kukimbizana na akina mama nitilie barabrani lakini si wafanyabiashara wakubwa.
Au imepotea kama ile ndege ya kule asia?Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).
TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.
Chanzo: Raia Tanzania
Kweli mkuu!Akili yangu inaanza kuamini kwamba kama ni kweli makontena zaidi ya 11,000 na magari 2,000 yalipitishwa bila kulipia tozo stahiki. Kumbe kameli kamoja ni kitu gani. Nchi inapozama katika lindi la rushwa na ufisadi kila jambo linawezekana. Namkumbuka Hayati Mwl Nyrere aliwahi kusema popote duniani serikali corrupt haikusanyi kodi, itabaki kukimbizana na akina mama nitilie barabrani lakini si wafanyabiashara wakubwa.
Na hakuna Mwenye ubavu Wa kumhoji wala kumkamata baba take juzi alikwenda white house kuweka mambo sana Pongezi Kwako RIZ 1
Du meli nzima!! Hii Sasa ni kufuru.Mbona hujaweka uk 4 wa gazeti kwenye muendelezo wa habari? Haya magazeti huku kwetu bush hayapatikani!