Bandarini si wizi bali kufuru: Meli nzima 'yaibiwa'

12400789_1020094598054998_9084659435735087752_n.jpg
[/QUdahhh
dahh hii nchi NUX,.....sana,..jk c mchezoooo sasa hivi alikuwa rais kweli ama niajeeeeeeee huyu jamaa vipi asee jk,..mpuuz
 
Ule utawala wa JK ungeendelea miaka 5 mbele hata bandari yenyewe ingepotea kwenye mazingira ya kutatanisha, tungeambiwa imemezwa na bahari na hakuna kuhoji.
 
Kwamba haya yamefanyika chini ya uongozi wa Kamishina Mstaafu wa Kanda maalum? pamoja na mzee wa intelijensia?
 
Bado jipu la meli za ngano na mafuta ya petrol na kula
Humo ni aibu
Watasema Magu anawaonea kwa sababu wao ni ........!
 
Back
Top Bottom