Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,158
Mmmmh! Shughuli pevu si mchezo. Ama kweli ni Tanzania mtelemko.
[/QUdahhh
dahh hii nchi NUX,.....sana,..jk c mchezoooo sasa hivi alikuwa rais kweli ama niajeeeeeeee huyu jamaa vipi asee jk,..mpuuz
Isije kuwa na yenyewe imeibwa...wabongo noma aiseeVipi bandari ipo lakini?
...kwa serikali ya mkwere nothing bad is impossible...Inawezekana vipi mizigo ya meli nzima "kupotea" kupitia mikono ya TPA?
Mkuu umetisha, inawezekana wameshaiiba pia ebu walio Dar watujuze kama bado ipo.Vipi bandari ipo lakini?
Wizi huu ni wakati uleeee, siyo Magu.iko siku tutasikia Ikulu nayo imeibiwa...watu wezi sana
Inawezekana vipi mizigo ya meli nzima "kupotea" kupitia mikono ya TPA?
unasemaaa..??!!!HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
imeibiwa na hiyoVipi bandari ipo lakini?
Hili sio jipu,Nathani Tanzania ilishafikia kuwa mafia state. serikali ikubali ina deal na mafia kwani ili sio jipu limepitiliza
Kaka ukimuomba akuwekee atakuwekeaMbona hujaweka uk 4 wa gazeti kwenye muendelezo wa habari? Haya magazeti huku kwetu bush hayapatikani!
huelewi au?unasemaaa..??!!!