That is mafisadi na wahujumu uchumi wamejaribu kufuruga ufuatiliaji wa makontena na kuelekeza fikra na mawazo ya watu kwa watu masikini yaani bomoabonmoa - hii ni hila ya wapinga anayoyafanya Rais Magufuli and it seems they have managed and ensured deviations has taken effect!!!!! miaka 20 au 30 NEMC ilikuwa wapi au ndo imeshuka kutoka mbiguni!!!!Nathani Tanzania ilishafikia kuwa mafia state. serikali ikubali ina deal na mafia kwani ili sio jipu limepitiliza