Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,059
- 758
Umenichekesha balaa!!Vipi bandari ipo lakini?
Umenichekesha balaa!!Vipi bandari ipo lakini?
Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).
TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.
Chanzo: Raia Tanzania
Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).
TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.
Chanzo: Raia Tanzania
Ndio ipo na wafanyakazi wapo.Vipi bandari ipo lakini?
Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.
Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).
TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.
Chanzo: Raia Tanzania
Hii itakuwa ni goita siyo jipu tenaNathani Tanzania ilishafikia kuwa mafia state. serikali ikubali ina deal na mafia kwani ili sio jipu limepitiliza
Machoni ipo sawa ,haijauzwa lakini? Nchi hii anything goes and by the grace of God goes we. AMENNimepita asubuhi naona ipo mkuu
Ndilo kosa kubwa tulilotaka kulifanya na ndilo hilo hilo linalomtesa JPM.
Angalia nchi kama Mexico, kuna billionaires lakini unapomgusa don yoyote kila mmoja maisha yake yanakuwa shakani. Niliona juzi wanamzika mayor wa mji mmoja baada ya kuuliwa na magenge ya matajiri haramu kama hawa tuliokuwa tunajaribu kuwatengeneza!
Mimi sitachoka kusema kwa kuwa ni domo kaya.Nitasema kwa kuwa uchungu unanila,kwa kuwa rasilimali za nchi yangu zinafujwa bila huruma!Rais Magufuli zinduka ,zinduka baba taifa linaangamia.Raia hawataweza bandari na TRA.Draft Jeshi katika sehemu zote muhimu Bandarini na TRA huku ukitoa adhabu kali isiyo na huruma kwa wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika ufujaji wa fedha Bandarini na TRA.Rais wangu tunakushanga kuwapa muda wa kulipa wafanyibiashara waliotoa macontainer bandarini bila kulipa kodi,ni watuhumiwa hawa waadhibiwa kama wahujumu uchumu.Wengine watajifunzaje?Bado adhabu ni nyepesi mno tatizo litaendelea.
Nafikiri bado hujasikia kuwa alikuwepo Home Shopping Centre sliyekuwa ndiye "agent " wa TRA kuagiza na kuleta makontena moja kwa moja toka China.HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense
Nafikiri bado hujasikia kuwa alikuwepo Home Shopping Centre sliyekuwa ndiye "agent " wa TRA kuagiza na kuleta makontena moja kwa moja toka China.