Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,257
Speed gani yakwenye mteremko? Wacha kudanganyika na nguvu ya sodaAnayeyafurumua ulimpa kura?
Na uliyempa kura angeweza spidi hii ?
Speed gani yakwenye mteremko? Wacha kudanganyika na nguvu ya sodaAnayeyafurumua ulimpa kura?
Na uliyempa kura angeweza spidi hii ?
Meno ya mamba haya umani wala kuumizanasafi sana!
DU MELI NZIMA!
#hawa wezi sasa wanakejeli utawala /
maa weeh!
#majaliwa ONA HILI.
Huyo atakuwa ni jambaziBandari bora ingeuzwe iwe beach!! Mda si mrefu Yusuph Manji atainunua bandari nzima!!!
Shamba la bibiMmmmh! Shughuli pevu si mchezo. Ama kweli ni Tanzania mtelemko.
Ukiona analipasua jipu ujue hakupata ganji, mbona mv dsm ameinyamazia?Bado jipu la meli za ngano na mafuta ya petrol na kula
Humo ni aibu
Watasema Magu anawaonea kwa sababu wao ni ........!
Sasa hivi anaitwa mzee wa fireKwamba haya yamefanyika chini ya uongozi wa Kamishina Mstaafu wa Kanda maalum? pamoja na mzee wa intelijensia?
Mnaisoma namba!Speed gani yakwenye mteremko? Wacha kudanganyika na nguvu ya soda
Ni kweli kabisa mkuuSoon bandari nzima itaibiwa.
Mmeshaingizwa chupa, safari nje fiksi, allawansi za wizi Ngurdoto hakuna.Utaisoma wewe na mkeo siku mkilala na njaa
kuuumbeHuyo anaitwa masopakyindi
Maso = Macho
Pa= Kwenye
Kyindi= Ugali
masopakyindi = Macho kwenye ugali
Ha ha ha!Huyo anaitwa masopakyindi
Maso = Macho
Pa= Kwenye
Kyindi= Ugali
masopakyindi = Macho kwenye ugali
Ndi pa kutukuju nkulumba. Ulobwike!?Ha ha ha!
Mkuu mzima Mzito?
Tulobwike malafyale, gwe nanine nalipo, loli nsulwike mu mbwani.Ndi pa kutukuju nkulumba. Ulobwike!?
Kwani hayo yaliyopotea iliwezekana vipi..?? watu wanatisha.... siku moja tutaamka tukute bandari imeibwa..haipoInawezekana vipi mizigo ya meli nzima "kupotea" kupitia mikono ya TPA?