Bandarini si wizi bali kufuru: Meli nzima 'yaibiwa'

HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar

Tutumie walau common sense
Kwa mini unasena hivyo? Mbona zipo meli za mafuta zinashusha mzigo wote au mafuta sio mzigo?
 
Anayeyafurumua ulimpa kura?
Na uliyempa kura angeweza spidi hii ?
Akisema hakumpa atakuwa na mantiki,kwa sababu hata huyu anayefurumua leo alimpa kura mtuhumiwa wa madudu haya,akisema kama lowassa angeweza atakuwa anapiga ramli tu kama wewe unavyopiga ramli kuwa asingeweza,lets go forward.
 
Mkwere siyo mtu aisee,dah!kumbe ndio alikimbilia ikulu kwenda kumtuliza Dr Magufuli!!??
 
ndio maana baba yake mwanaasha hakauki kwenye jengo letu jeupe
 
Unaposema meli inamaanisha mzigo wote uliopangwa kulipiwa ushuru haukulipiwa kwa meli nzima
 
tukuulize wewe ulikuwa na malengo gani wakati sisi tunakosoa utawala wa jk wewe ulikuwa ukitetea kwa nguvu zote...mnafki kaa kimya
kuna watu ni vinyonga balaa huyu masoudkipanya alikua mnazi wa ccm mbaya na kusifia jk leo hii kageuka na yeye anashangaa
 
HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar

Tutumie walau common sense
Umeshawahi kujua uwezo wa meli kubeba idadi ya contena?
 
Bora hata Kagame alivyobadilisha katiba aendelee kutawala kuliko huu uhuni wa serikali ya CCM, ovyoo kabisa
 
Anayeyafurumua ulimpa kura?
Na uliyempa kura angeweza spidi hii ?
Ukweli ni kwamba hadi sasa nimeamua kusamehe kila kitu baada ya uchaguzi. Wapo wengi walikuwa wanaunga mkono kila aina ya upuuzi wa serikali ya awamu ya nne. Mimi kama mwana CCM kabla sijaondoka na Lowassa baada ya kuona pandikizi la msoga Membe anaelekea kuukwaa uraisi. Sasa yale yote yaliyonikwaza ndiyo Magufuri anayatumbua na kura yangu sijampa. Vilevile Lowassa kwa tabia yake ya huruma nafikia hatua nahisi asingefikia maamuzi ya Magufuri japo nayeye huwa hayumbiki kimsimamo.
 
[QUmeE="Manosa, post: 15046967, member: 82264"]Bado jipu la meli za ngano na mafuta ya petrol na kula
Humo ni aibu
Watasema Magu anawaonea kwa sababu wao ni ........![/QUOTE].
Ya meno ya tembo je?
 
Back
Top Bottom