Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,799
- 71,220
Kwa mini unasena hivyo? Mbona zipo meli za mafuta zinashusha mzigo wote au mafuta sio mzigo?HII Ni saisa...Hakuna meli imewahi kupakua mzigo wote kwenye bandari ya Dar...Labda iwe boti kutoka Zanzibar
Tutumie walau common sense