Bandarini si wizi bali kufuru: Meli nzima 'yaibiwa'

Bandarini si wizi bali kufuru: Meli nzima 'yaibiwa'

12511011_1020111758053282_1780808158_o.jpg
 
Unaweza kuta tunazungumza uwizi wa makontena kumbe hata Bandari yenyewe ilikwisha binafsishwa siku nyingi kwa mtu mwingine kumiliki share kubwa!

Harbour View Plus
Vessel Traffic Reports
Expected Arrivals

TICTS mkataba wake ukoje na Bandari (TPA)!


TRA Verification


tra.jpg
• Consignees, through the use of their appointed CFA are required to make their bookings at – TICTS‘s Delivery office.

• The CFA required to presents a Customs Declaration Form (TANSAD) which indicates the list of containers that require physical verification.

• After booking the CFA will be informed by TRA on the date the containers will be physically verified.

• Consignees or their representatives are allowed to attend the physical verification exercise which is conducted by TRA in the presence of other Government Authorities.

• TICTS provides manual laborers and all necessary equipment needed to facilitate the smooth verification process.

• After completion of verification, containers are properly sealed with TICTS and Custom's seal.

• The customer can then book a delivery time so as to release the containers out of terminal.
 
Dr Magufuli washughulikie tu. Walikuwa na kufuru ya pesa.
 
Hapo bandarini majipu bado hayajakamuliwa kabisa naona wamebip fire tu.........!!!!
 
Nathani Tanzania ilishafikia kuwa mafia state. serikali ikubali ina deal na mafia kwani ili sio jipu limepitiliza
Ndilo kosa kubwa tulilotaka kulifanya na ndilo hilo hilo linalomtesa JPM.
Angalia nchi kama Mexico, kuna billionaires lakini unapomgusa don yoyote kila mmoja maisha yake yanakuwa shakani. Niliona juzi wanamzika mayor wa mji mmoja baada ya kuuliwa na magenge ya matajiri haramu kama hawa tuliokuwa tunajaribu kuwatengeneza!
 
Msaada kwenye tuta
nitapataje kazi TPA...?. maelekezo tafadhali
 
Mwandishi wetu hajafanya uchunguzi yakinifu. Ninamuomba ufafanizi wa maswali yangu yafuatayo:-
1) Ninaomba ataje jina la meli
2) Meli ilifika tarehe gani? na mwezi gani?
3) Meli ilifunga gati namba ngapi?
4) Meli ilifunga TPA au TICTS?
5) Idadi ya makontena meli iliyokuja nayo?
6) Makontena yalikuwa ya Local au Transit?


Angalizo: Waandishi wa magazeti acheni tabia za kuzusha mambo ili muuze magazeti yenu. Ndio maana hata majina yenu hamuyataji kwenye habari zenu. Mnaishia kusema ' NA MWADISHI WETU, Dar'
 
Unajua vitu vingine ni vya kuumizana vichwa bure kweli kontena linaweza potea je wakti hata kwa mikono aliwezi hamishika kwa hiyo wanataka kutuambia kuwa ni sindano ya kushonea koti? Ingekuwa kwa sheria yangu jipu lingetumbulia kwa kukata na panga
 
Back
Top Bottom