Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

bandari si imeingiza matilioni miezi 2 iliyopita inakuaje tena??
Swali Kuntu!
Tatizo watu wanadhani kupigiwa kura ama kushika nafasi ya uongozi na madaraka ndiyo kuwa kiongozi. Uongozi ni taaluma inayosaidia na tabia ya mtu aliyozaliwa nayo.

Mtu anakila kitu chini yake, lakini anashindwa kujua umhimu wake katika kufanikisha malengo. Wataalamu hadi polisi!.

Hili litakuwa ni tatizo la mtu binafsi na majuha wa ccm, linatugharimu taifa zima na vizazi vyetu kwa maslahi ya kundi dogo la watu wachache waovu!.
Viongozi Wetu wa Kiafrica Ufikiri Uongozi Unamanisha Una Akili Nyingi Kuliko Uwaongozao!
 
Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?

Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?

Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.

Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............
Huu Mchezo bana hauhitaji Push Ups. Huwezi mnunia mfanyabiashara na biashara haiendeshwi kama familia.
Walianza kutishia wanao ingiza sukari na kusema wataenda kuagiza wao wenyewe walipofika Brazili wakaambiwa tayari tuna mawakala wetu tz na tuna mkataba nao so kama mnataka Sukari wafuateni hao na bado hawakujifunza namna biashara inavyo enda. Sasa Bandari imedodo inawalazimu kula mavomit yao na kuwapigia magoti wafanyabiashara.
 
The latter is subject to the transformer.
Inaelekea wadau wengi hawajui tofauti kati ya sera ya serikali ya zero tolerance to corruption na TPA marketing strategy. The latter is subject to the former.
 
Bado alisarenda kwa wafanyabiashara wa sukari, sasa bandari na bahati mbaya wafanyabiashara wa baandari hawawezi kulazimisha watu kutumia bandari yao, mbelekwambele., hapa KASI TU.
 
Huu Mchezo bana hauhitaji Push Ups. Huwezi mnunia mfanyabiashara na biashara haiendeshwi kama familia.
Walianza kutishia wanao ingiza sukari na kusema wataenda kuagiza wao wenyewe walipofika Brazili wakaambiwa tayari tuna mawakala wetu tz na tuna mkataba nao so kama mnataka Sukari wafuateni hao na bado hawakujifunza namna biashara inavyo enda. Sasa Bandari imedodo inawalazimu kula mavomit yao na kuwapigia magoti wafanyabiashara.
Acha Wale Mavomit yao!
 
Hivi yanaitwaga "mavomit" au?

Haya bila shaka wanayaitaka "magwangala"kwa lugha ya huko kwa mkuu wetu. Huu ni uchafu unaotokana na mchanga baada ya kuondoa dhahabu!
JPM na CCM watanyooka tu! Chezea Wapinzani na Wafanyabiashara wewe.Hivi unawezaje kuendesha uchumi kwa ku-harass Wafanyibiashara, Wafanyakazi na Wapinzani?Hawa ni wadau muhimu au Keyplayers kwenye biashara na Uchumi wa nchi! Bado la WATALII kwenye mbuga zetu za Wanyama!
Hivi sasa watalii wengi wamehamia Kenya kwasababu ya Kodi za kijinga! Halafu Rais mzima anasimama anatamba kuwa HAO WATALII NA WASIJE, NI HERI KUWA NA WATALII 500 WANAOLIPA KODI KULIKO MILIONI 2 WASIOLIPA! Haya ni mambo ya hovyo kabisa!!!
 
Uchumi wa nchi zote unaendeshwa na wafanyabiashara..amebana mwisho ameachia kama ilivyokuwa sukari.
 
Juzi kati nilikua namuangalia kupitia tv "Katelephone" akimwangukia Mo Dewji ajaribu kuzungumza na wafanya biashara wenzake warudi na wasikimbie nchini kwenda kufanya biashara nje ya nchi, mpaka huruma.
 
Back
Top Bottom