Bandari ya Zanzibar yabinafsishwa kwa kampuni ya kigeni, wazalendo wahoji

Rege

Senior Member
Jul 9, 2022
112
140
Chama cha ACT Wazalendo kimehoji juu ya mchakato uliotumika kwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuipatia Kampuni kuendesha shughuli za bandari ya Malindi Zanzibar

Katibu wa habari na uenezi ACT Wazalendo Salum Bimani, amehoji hatua hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kufungua pazia la kuanza kufanyika kwa mikutano 12 Unguja na pemba

Bimani ameitaka serikali ya Zanzibar kueka bayana hatua zilizofanyika za mchakato wa kuipatia kampuni ya Africa Global Logisti kuendesha na kusimamia shughuli za Banadari ya Malindi

 
Mtihani sana na vile visiwa vimekodishwa umri wa binadamu aliyefikisha miaka 90
 
Tanzania bado inaongozwa na wababaishaji sana. Walipoambiwa "kubinafsisha" kwa "wawekezaji" basi wao wakachukulia kuwa kubianasfisha kwa wawekezaji kutoka nje ndiyo shortcut. Ninashangaa Zanzibar baada ya experience ya ubinafshishaju uliofwnya na Mkapa hadi kufikia ATCL kufa kifo cha mende bado wanarudi huko huko.. Yaani wangejifunza njia iliyotumiwa na nchi za Japan, China na Korea katika zoezi la ubnafsishaji, sasa hivi tungekuwa mbali sana. Wenzetu hawakuita watu wa nje kuwaambia tunakuuzia bandari hii au reli hii, bali walikuwa wanauza hisa kwa wazawa tu mpaka shirka lote linakuwa linamilikiwa kwa njia za hisa na wazawa. ndiyo maana serikali ya Japan mpaka leo ndiyo yenye madeni mengi sana dunaini lakini yote ni a kutoka ndani tu, hidaiwi na tassisi yoyote ya nje ya nchi.
 
Nyerere alionya sana ubinafsishaji.

Alihofu hata magereza yatabinafsishwa.
Kawaida tu ikiwa mataifa makubwa mpaka majeshi wamebinafsisha huko Ukraine na Russia hawapigani wao ni Wag na Mozzert tu serikali kusanya kodi tu basi. Mwinyi anawajuwa wa Zanzibar watu wavivu hatari na kuomba rushwa pale bandarini hatari maendeleo na hawa wafanyakazi wa serikali hata miaka 100 hawaleti. Kuna kiwanda gani TZ cha serikali au shirika limekuwa na matokeo chanya? ni wakati wa ushindani hufanyi kazi you are fired basi....
 
Tanzania bado inaongozwa na wababaishaji sana. Walipoambiwa "kubinafsisha" kwa "wawekezaji" basi wao wakachukulia kuwa kubianasfisha kwa wawekezaji kutoka nje ndiyo shortcut. Ninashangaa Zanzibar baada ya experience ya ubinafshishaju uliofwnya na Mkapa hadi kufikia ATCL kufa kifo cha mende bado wanarudi huko huko.. Yaani wangejifunza njia iliyotumiwa na nchi za Japan, China na Korea katika zoezi la ubnafsishaji, sasa hivi tungekuwa mbali sana. Wenzetu hawakuita watu wa nje kuwaambia tunakuuzia bandari hii au reli hii, bali walikuwa wanauza hisa kwa wazawa tu mpaka shirka lote linakuwa linamilikiwa kwa njia za hisa na wazawa. ndiyo maana serikali ya Japan mpaka leo ndiyo yenye madeni mengi sana dunaini lakini yote ni a kutoka ndani tu, hidaiwi na tassisi yoyote ya nje ya nchi.
Sasa wewe wa Tanzania kwa mitaji gani? leo utuweke na kundi la Japan. Nchi haina mitaji mikubwa ya ndani sisi tuna fit kwenye Vicoba tu kupata mkopo Bank tu wa kununua gari utaleta documents utasema unataka kununua kiwanda huyo afisa mikopo badala ya yeye kuwa anakuvuta kama mteja wewe ndio unamramba miguu kama unaomba msaada kumbe unakata mkopo na utalipa. Sisi bado sana ndio maana mabank yetu hawana imani na wateja wao.
 
Nyerere alionya sana ubinafsishaji.

Alihofu hata magereza yatabinafsishwa.
Kubinafsisha bandari ya zanzibar ni uzembe maana wanashindwa vipi kuhudumia bandari inayohudumia wakazi milioni mbili tu, natamani bandari ya dar ibinafsishwe maana ufanisi ni zero na inahudumia nchi nyingi, bandari ya dar wapewe wazungu au waarabu huko
 
Chama cha ACT Wazalendo kimehoji juu ya mchakato uliotumika kwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuipatia Kampuni kuendesha shughuli za bandari ya Malindi Zanzibar

Katibu wa habari na uenezi ACT Wazalendo Salum Bimani, amehoji hatua hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kufungua pazia la kuanza kufanyika kwa mikutano 12 Unguja na pemba

Bimani ameitaka serikali ya Zanzibar kueka bayana hatua zilizofanyika za mchakato wa kuipatia kampuni ya Africa Global Logisti kuendesha na kusimamia shughuli za Banadari ya Malindi

Hussein Mwinyi msimchukulie poa jamaa ana nia ya dhati kuleta maendeleo Zanzibar na anajua anachokifanya binafsi chochote chenye mkono wake Sina mashaka naye,

Zanzibar ipo mikono salama.
 
Sasa wewe wa Tanzania kwa mitaji gani? leo utuweke na kundi la Japan. Nchi haina mitaji mikubwa ya ndani sisi tuna fit kwenye Vicoba tu kupata mkopo Bank tu wa kununua gari utaleta documents utasema unataka kununua kiwanda huyo afisa mikopo badala ya yeye kuwa anakuvuta kama mteja wewe ndio unamramba miguu kama unaomba msaada kumbe unakata mkopo na utalipa. Sisi bado sana ndio maana mabank yetu hawana imani na wateja wao.
Basi una mtazamo mfupi sana. Unadhani Japan walitoa wapi Mtaji huo? Mtaji hujengwa na wenyeweNgoja nikutafutia video clips chache zinazoonyesha Japan, Korea na Singapore waliazanje hadi kufikia walipo leo ndipo ujue kuwa ujengaji wa taifa siyo kazi ya lele mama ya kuleta wawekezaji tu; hata China imefuata utaratibu huo huo na leo baada ya miaka 30 tunaona wamebadilika sana. Kwa mfano elewa kuwa China hawakuza mashirka yao kwa wawekezaje wa nje bali walirurhus wawekezaji wa nje kujenga viwandanda vya na kuwalazimisha kuyasiadia masihirka yao ya ndani kiteknolojia.






 
Basi una mtazamo mfupi sana. Unadhani Japan walitoa wapi Mtaji huo? Mtaji hujengwa na wenyeweNgoja nikutafutia video clips chache zinazoonyesha Japan, Korea na Singapore waliazanje hadi kufikia walipo leo ndipo ujue kuwa ujengaji wa taifa siyo kazi ya lele mama ya kuleta wawekezaji tu; hata China imefuata utaratibu huo huo na leo baada ya miaka 30 tunaona wamebadilika sana. Kwa mfano elewa kuwa China hawakuza mashirka yao kwa wawekezaje wa nje bali walirurhus wawekezaji wa nje kujenga viwandanda vya na kuwalazimisha kuyasiadia masihirka yao ya ndani kiteknolojia.







Wala huna haja ya kuweka video naelewa kuliko unavyodhani wewe. Jiulize wewe kwanini Tanzania pamoja na cheap labour wawekezaji hawaji kuwekeza hapa hasa kwenye manufacturing? kwa sababu sera zetu na kodi ni kubwa kuliko nchi nyingi kwa ufupi sera hazivutii na wawekezaji wanawekeza ndani ikiwa tu nchi ina sera za kodi za kuvutia, stability na dhamana ya uwekezaji wao sisi Tanzania ndipo tunatakiwa kubadilika. Japan walipata misaada mikubwa baada ya kupigwa vita na USA wakaweka sera bora lakini leo hii hao wa Japan wanawekeza China unajuwa kwanini? leo manufacturing ni China sababu hata hizo kampuni kubwa za magharibi wanaona gharama za uzalishaji China ni ndogo za zinaleta ushindani kuliko kuzalisha kwao sababu gharama za uzalishaji ni kubwa lakini pia China iko siku haitakuwa rahisi tena sababu standard ya maisha itapanda kinachosaidia serikali ina control inflation na population yao ni kubwa. Turudi kwenye topic weka kampuni moja inayomilikiwa na serikali ya Japan au USA? walisaidia watu kujenga viwanda kwa kuwawekea sera bora lakini sio wao kufanya biashara. Ndio maana ili uweze hayo ni kuwa na sera imara ku support uzalishaji ndani kufanya bidhaa zetu zipenye nje tuweze kushindana bei na kuwa chini sio haya ya leo sukari ya nje rahisi kuliko ya ndani( mfano tu) ndio mitaji itakuwa.
 
Wala huna haja ya kuweka video naelewa kuliko unavyodhani wewe. Jiulize wewe kwanini Tanzania pamoja na cheap labour wawekezaji hawaji kuwekeza hapa hasa kwenye manufacturing? kwa sababu sera zetu na kodi ni kubwa kuliko nchi nyingi kwa ufupi sera hazivutii na wawekezaji wanawekeza ndani ikiwa tu nchi ina sera za kodi za kuvutia, stability na dhamana ya uwekezaji wao sisi Tanzania ndipo tunatakiwa kubadilika. Japan walipata misaada mikubwa baada ya kupigwa vita na USA wakaweka sera bora lakini leo hii hao wa Japan wanawekeza China unajuwa kwanini? leo manufacturing ni China sababu hata hizo kampuni kubwa za magharibi wanaona gharama za uzalishaji China ni ndogo za zinaleta ushindani kuliko kuzalisha kwao sababu gharama za uzalishaji ni kubwa lakini pia China iko siku haitakuwa rahisi tena sababu standard ya maisha itapanda kinachosaidia serikali ina control inflation na population yao ni kubwa. Turudi kwenye topic weka kampuni moja inayomilikiwa na serikali ya Japan au USA? walisaidia watu kujenga viwanda kwa kuwawekea sera bora lakini sio wao kufanya biashara. Ndio maana ili uweze hayo ni kuwa na sera imara ku support uzalishaji ndani kufanya bidhaa zetu zipenye nje tuweze kushindana bei na kuwa chini sio haya ya leo sukari ya nje rahisi kuliko ya ndani( mfano tu) ndio mitaji itakuwa.
Just going around the bush. Kodi zinawekwa na nani kama siyo sera mbovu.

Japan ilikuwa na nguvu sana ndiyo maana ikaipiga Pearl Harbour; yale malipo ya madhara ya Atomik siyo yaliyoendeleza Japan. Tayari viwanda vya Mitsubishi vilikuwa vikubwa sana vikitengeneza meli na ndege kabla ya vita ya dunia. Mabomu ya Atomiki yalilengwa Hiroshima na Nagasaki kwa sababu kule ndiko kulikokuwa na viwanda vikubwa vya Mitsubishi.

Stori zako zote kuhusu kuwekeza china ni blah blah tu; unazunguka katika jambo ambalo hata tukiendelea kubishana hatutafika Mwisho. Ishu yote ni kwenye sera. Elewa kuwa China haikuwahi kuuza shirika lake hata moja kwa mwekezaji wa nje. Vitu vingi unavyonunua leo kutoka China huenda vinatengezwa na mashirika ya serikali ambayo yamekopi teknolojia kutoka kwa wawekezaji waliokaribishwa miaka ya 1990 na 2000 tu. Ni swala la sera za kitaifa.
 
Basi una mtazamo mfupi sana. Unadhani Japan walitoa wapi Mtaji huo? Mtaji hujengwa na wenyeweNgoja nikutafutia video clips chache zinazoonyesha Japan, Korea na Singapore waliazanje hadi kufikia walipo leo ndipo ujue kuwa ujengaji wa taifa siyo kazi ya lele mama ya kuleta wawekezaji tu; hata China imefuata utaratibu huo huo na leo baada ya miaka 30 tunaona wamebadilika sana. Kwa mfano elewa kuwa China hawakuza mashirka yao kwa wawekezaje wa nje bali walirurhus wawekezaji wa nje kujenga viwandanda vya na kuwalazimisha kuyasiadia masihirka yao ya ndani kiteknolojia.







Kwanini makampuni makubwa wanawekeza Nairobi kama Google na wengi tu sio kwetu Dar? nini kinafanya Kenya kuwa kivutio cha makampuni makubwa ya kimataifa na sio kwetu? sheria zetu za kodi na uwekezaji ni majanga na elimu yetu haikidhi ushindani wa kisasa ndio tunaishia kuwa na ma CEO toka Kenya kwanini hatujiulizi sababu ni nini?
 
Basi una mtazamo mfupi sana. Unadhani Japan walitoa wapi Mtaji huo? Mtaji hujengwa na wenyeweNgoja nikutafutia video clips chache zinazoonyesha Japan, Korea na Singapore waliazanje hadi kufikia walipo leo ndipo ujue kuwa ujengaji wa taifa siyo kazi ya lele mama ya kuleta wawekezaji tu; hata China imefuata utaratibu huo huo na leo baada ya miaka 30 tunaona wamebadilika sana. Kwa mfano elewa kuwa China hawakuza mashirka yao kwa wawekezaje wa nje bali walirurhus wawekezaji wa nje kujenga viwandanda vya na kuwalazimisha kuyasiadia masihirka yao ya ndani kiteknolojia.








Kuna la kujifunza hapa tatizo Tz kila kitu ccm wameingilia.
 
Kwanini makampuni makubwa wanawekeza Nairobi kama Google na wengi tu sio kwetu Dar? nini kinafanya Kenya kuwa kivutio cha makampuni makubwa ya kimataifa na sio kwetu? sheria zetu za kodi na uwekezaji ni majanga na elimu yetu haikidhi ushindani wa kisasa ndio tunaishia kuwa na ma CEO toka Kenya kwanini hatujiulizi sababu ni nini?
Unarudia hayo hayo ya Sera mbovu za kodi Tanzania zinaweza kufukuza wawekezaji, sure, lakini sasa kama tuna sera mbvu za kufukuza wakezaji, je solution ndiyo iwe kuwauzia mashrika yetu kusudi waje? Inaonekana wewe hujui kujenga hoja kwenye mjadala huu. Hata ukiwauzia mashirka hayo ukaacha sera mbavu, watayachukua na labda kuayua kabisa au kuyanedesha kutokea Kenya na wewe unabaki bado ni empty handed, unapiga mark time..
 
Back
Top Bottom