Chama cha ACT Wazalendo kimehoji juu ya mchakato uliotumika kwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuipatia Kampuni kuendesha shughuli za bandari ya Malindi Zanzibar
Katibu wa habari na uenezi ACT Wazalendo Salum Bimani, amehoji hatua hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kufungua pazia la kuanza kufanyika kwa mikutano 12 Unguja na pemba
Bimani ameitaka serikali ya Zanzibar kueka bayana hatua zilizofanyika za mchakato wa kuipatia kampuni ya Africa Global Logisti kuendesha na kusimamia shughuli za Banadari ya Malindi
Katibu wa habari na uenezi ACT Wazalendo Salum Bimani, amehoji hatua hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kufungua pazia la kuanza kufanyika kwa mikutano 12 Unguja na pemba
Bimani ameitaka serikali ya Zanzibar kueka bayana hatua zilizofanyika za mchakato wa kuipatia kampuni ya Africa Global Logisti kuendesha na kusimamia shughuli za Banadari ya Malindi