Banda wa Simba SC nimemuona akicheza AFCON ya Cameroon, ila Diara wa Yanga SC namuona 'anaozea' Benchi tu. Kulikoni?

Ni kweli Banda kacheza hiyo Mechi Moja tu je, Diara kacheza Mechi ngapi huko Mkuu? Nasubiri Jibu lako la Kitakwimu pia.

Ndiyo maana aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) alisema ( hata YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
Mkuu umeanza vzr umemaliza vibaya, linganisha profile za wachezaji wa Mali na Malawi kisha tuanze mjadala.
 
Yaani ulinganisha nafasi ya kipa dhidi ya mchezaji wa ndani, Utafikiri sio watu wa mpira. Kikawaida ni kwamba kwenye nafasi ya kipa kunakuwa na kipa namba moja na kipa namba mbili mpaka kipa namba tatu. Nafasi ya kipa ni nadra sana kubadiilishwa katika michuano labda itokee kipa namba moja kaumia ndio ataingizwa kipa mwingine. Lakini kwa mchezaji wa ndani ni tofauti sana kocha anaweza kufanya sub ya mchezaji wa ndani muda wowote ule hata kama hajaumia mchezaji. Bila bila huyu GENTAMYCINE unayemsifia ndio huyu asiyetumia akili?
 
Djigui Diarra wa Yanga ni chaguo la Tatu ktk safu ya makipa timu ya taifa ya Mali

1. Ibrahim Mounkoro ( Tp Mazembe)
2. Diawarra ( FF Malmo- Sweden)
3. Diarra

Mounkoro amedaka mechi zote tatu afcon na ana clean sheet mechi mbili

Mechi alizocheza Diarra kwa mwaka jana 2021 ( full time goal keeping)

Algeria vs Mali (1-0) 06.06.2021
Guinea vs Mali (1-0) 24.03.2021
Mali vs Morocco ( 0-2) 07.02.2021
Mali vs Guinea (1-0) 03.02.2021

Hivyo kwa mechi hizo Diarra mechi ya mwisho kucheza ilikuwa tar 06.06.2021 dhidi ya Algeria ambapo ilikuwa kabla hajasajiliwa kuja Yanga

Kwa maana hio kitendo cha yeye kuja Yanga ambayo haishiriki michuano yoyote mikubwa barani África na wala haina mafanikio yoyote ktk ngazi ya kimataifa ni kama imeshusha CV yake kwa kiasi kikubwa ndio maana amedrop kutoka chaguo la kwanza mpaka la tatu

Na kwa mwenendo huo basi inawezekana akajikuta siku za mbeleni hata kuitwa timu ya Taifa ikawa baba Jeni bye bye
Naomba niambie huyu Ismael Diawara ni mechi ipi aliyopangwa kwanzia michuano hii ya AFCON ianze? Mbona mna hoja za kitoto sana?
 
Ni kweli Banda kacheza hiyo Mechi Moja tu je, Diara kacheza Mechi ngapi huko Mkuu? Nasubiri Jibu lako la Kitakwimu pia.

Ndiyo maana aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) alisema ( hata YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
Banda alicheza mechi mbili. Ya kwanza,walifungwa1:0. Alianza, alicheza dk 80,na kwa timu yao, yeye ndiye aliyepata pointi nyingi kuliko wenzie (yaani alicheza vizuri). Ya pili, aliingia dk ya 66,wakashinda 2:1 Ya mwisho na Senegal, aliishia benchi, yaani hakucheza, na walitoka 0:0.
 
Yaani ulinganisha nafasi ya kipa dhidi ya mchezaji wa ndani, Utafikiri sio watu wa mpira. Kikawaida ni kwamba kwenye nafasi ya kipa kunakuwa na kipa namba moja na kipa namba mbili mpaka kipa namba tatu. Nafasi ya kipa ni nadra sana kubadiilishwa katika michuano labda itokee kipa namba moja kaumia ndio ataingizwa kipa mwingine. Lakini kwa mchezaji wa ndani ni tofauti sana kocha anaweza kufanya sub ya mchezaji wa ndani muda wowote ule hata kama hajaumia mchezaji.
Makolo wajue wapi haya mambo
 
Naomba niambie huyu Ismael Diawara ni mechi ipi aliyopangwa kwanzia michuano hii ya AFCON ianze? Mbona mna hoja za kitoto sana?
Sijajua ni chuki au ni ndio ukiwa na mahaba ya usimba na uyanga ndio akili haifanyi kazi. Yaani mtu katoa hoja utafikiri huyo Diawara anayechezea Malmo kadaka hata mechi moja kwanzia Afcon ianze, wakati scenario ni moja hiyo hiyo kocha hawezi kubadilisha kipa namba moja kama hajaumia, ama kuumwa
 
Hata hivyo Mchezaji pekee huko Kwao Congo DR anaimbwa sana, ameshapata mpaka Tuzo kadhaa katika Ligi Kuu ya Congo DR na kwamba hata hapa Simba SC alipo saaa anapita zake njia kwani muda wowote anaelekea zake Ulaya ( hasa Ufaransa, Uhispania na Ubelgiji ) ni Beki Henock Inonga peke yake na ndiyo Mkongo anayejua Mpira kati ya Wachezaji wote wa Kikongo walioko hapa Kwetu Tanzania.

Ni yule aliyochomesha kwenye mechi ya Mbeya city au kuna Inonga mwingine?
 
Uyo banda unaemsema angekuwa kwenye kikosi cha mali ata benchi asingekaa, unalinganisha aina ya wachezaji waliopo mali na waliopo Malawi? Tafuta wasifu wa mchezaji mmoja mmoja wa mali na timu wanazochezea alafu ulinganishe na hao wa Malawi, kitendo cha diarra kuitwa tu kwenye kikosi cha timu ya taifa ya mali ni moja ya kuonyesha kwamba ni bonge la golikipa, Timu ya taifa ya Mali inao wachezaji 3 tu wanaocheza ligi ya Africa waliobaki wote ni ulaya, sasa kaangalie Malawi kikosi chao kinao wachezaji wangapi wanacheza ulaya? Banda atashindwaje kupata mamba kikosi cha kwanza wakati ndie mchezaji wanaeona mwenye mafanikio kwao? Mnapoongea msiongee vitu nusu nusu wekeni fact zote ili watu walinganishe wachambue pumba na mchele!
Mchezaji wao wa kuitwa Kanoute ni Mali ila hata kuitwa haitwi ila makolo hayasemi. Au huyu Sakho kama ni bora kwa Nini haitwi huko senegal
 
wale wakongo wa Yanga ni watu ambao hawana pa kwenda
Ni bora wale waliokosa pa kwenda kuliko kuishuhudia timu yajo ikiwa na Mugalu, Bocco na Kagere.
FIwr5AFXwAs23gz.jpg
 
Back
Top Bottom