Tongo Elamu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 2,904
- 4,397
Tumieni na mlenda au urojo
Hakikisha una mpenzi la sivyo utateleza hadi uangukie kwenye mahusiano ya watuWeee, usiniambie 😳? Ngoja nifanye mambo kesho mwaya😋
tutalala kwenye gari au home kwetu 😊😊😊.. usiogopeSawa🤗🤗...tusichelewe kurudi lakini nisije nikafungiwa geti nyumbani oooh🤓
Kunawia? Karafuu si inawasha?Nayo ni balaaa unakunywa na nyingine unanawia kwa mama Samia huko
Mzee atanikata kichwa🤒🤒tutalala kwenye gari au home kwetu 😊😊😊.. usiogope
nitapeleka mahali 😅😅Mzee atanikata kichwa🤒🤒
Ni sawa,bamia unaweza koroga mlenda au kupika lenyewe.Tumieni na mlenda au urojo
😅😅😅 acha basi banaLeejay49 kwenye gari kataa Kabisa kabisa.... please
Kabisa. Yaani ukweli naujua mwenyewe.Sana mkuu,ukuni unapita tu kufuata G..
bahati yako umri wangu sasa umesogea kidogo hakika ningefanya juu chini ni hakiki je ni kweli🤣🤣🤣🤭