Nimeona Balozi mpya wa marekani kapokelewa na mkuu wa nchi na msafara kama state visit ya hadhi ya Rais, hivi mabalozi wengine huwa wanapewa the same treatment?
Nimeona Balozi mpya wa marekani kapokelewa na mkuu wa nchi na msafara kama state visit ya hadhi ya Rais, hivi mabalozi wengine huwa wanapewa the same treatment?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Ujue siku zote ukitupwa baharini huwezi kufa kilaini, lazima utapetape as if u want to save your life though you will die, ndivyo walivyo hawa wote wenye chuki na uongozi ulio madarakani!
Imetangazwa siku ya mapumziko tz kwa ajili ya mapokezi ya balozi huyo? au mnaleta majungu tu? FF, elimisha watu mama.
Waache kwanza wajazane humu wakidanganyana, wakuijuwa ukweli watakaa kimya, itakuwa hakuna raha.
Usitake kudanganya watu, kwani yeye ndio balozi pekee wa nchi za nje aliyopo hapa nchini? Kila mala wanapokelewa mabalozi wa nchi nyingine hatujawahi kuona mapokezi ya aina hiyo, ndio maana watu wameshangaa.Hiyo ni kawaida hata balozi wako hupokelewa hivyo hivyo popote anapenda kijitambulisha nchi husika lakini pasipo kupigiwa mizinga 21.